Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Kuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..

Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .

Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...

Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.

Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...

Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.

Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..

Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..


Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..

Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....


Kenge sana huyu....!
 
Kuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..

Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .

Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...

Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.

Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...

Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.

Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..

Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..


Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..

Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....


Kenge sana huyu....!
Dah!! Mkuu ulifika mbali sana!!!
 
mmh!...sisemi ila mpaka mda huu naandika..
kuna jitu limelia shida nikalisaidia japo kuwa na mie ni mnyonge...
Lakini..alichonifanya... sina hamu..nimechomoa pesa pabaya kwa kujua atanipa nirejeshe baada ya siku mbili.
Leo hii karibia mwezi...
 
Dah, pole sana mkuu. Fadhili mfadhili mbuzi utamnywa supu siku moja na ngozi utawambia ngoma watu wacheze mdumange huko mboga zako zikinawiri kwa mbolea ya samadi bustanini.
Msamehe bure, kuna sababu Mungu anataka ujifunze jambo.
Tunza sana maneno yangu. Kuna siku atatembea kwa magoti 2km kukuomba msamaha au msaada, hayo ni mapito tu usikate tamaa.
 
Nimemsaidia jamaa kulimpia ada university, semester moja, lakini haitoshi msenge huyu akanidhulumu tena 85,000tshs.
 
Yaan hawa watu wanaweza wakakufundisha roho mbaya yaan acha mpaka leo nilkuwa najiuliza et hv m n mpaka lini ntapunguza hz huruma za kijinga yaan m sijui nikoje sijui n huruma yan mtu akishaniambia nna tatzo bas niko laz nimkopee hata kwa mtu ila sasa nnayoyaona yanachosha watu sijui wakoje
 
Bro naelewa ni nini unapitia, mimi kuna wakati nasema kuwa i wont help anybody kutokana na mambo kama haya lakini inafikia point nasema basi tu Mungu ndo analipa, mimi imefikia point nimefuta namba za simu zote kwenye simu yangu za watu ambao hawana faida wala manufaa kwangu, nimefuta hata namba za ndugu mpaka wa kuzaliwa .

Kunakipindi mtu unapitia unajiona kama dunia nzima uko peke yako unakutana na mtu unamueleza matatizo yako tena mtu anaekujua kabisa lakini the way ana respond mpaka unakata tamaa unaona haina haja tena ya kueleza shida zako kwa yeyote.
I feel you bro
 
Same as me nmekuwa lijinga sana la ku saidia watu ambao wengi wao hawana impacts yoyote kwangu zaidi kuniretea shida. Nna mifano zaidi ya 100 watu ambao nmewasaidia wakaja kuni betrayal.
 
Unajifungia baraka zako kwa hilo, tenda wema nenda zako. Sio lazima usaidiwe na ulomsaidia. Hata huyo mama alokusaidia ni kwasababu nawe ulimsaidia jamaa.
Samehe na achilia.
 
Hapa nitajaza gazeti ila kikubwa nilichojifunza.

Msaidie mtu akiwa na shida aende zake akafanye yake ili arudi tena akiwa Na shida nyingine.Hii Ina maana epuka sana kuwasaidia watu ile first time maana pale ndo umewapa kibali na jinsi unavyomsaidia mtu ndo jinsi anavyokuja kwako na shida.

Wengine walivyo was*nge anakopa laki leo anaenda tatua shida yake akimaliza anajisahaulisha deni,Kama unavyojua watoaji wote duniani hatujui kudai dai. Anakaa huko weee kama miezi 6 anarudi tena kukopa hazumgumzii deni la nyuma,najiulizaga kwahiyo anahisi nimesahau deni langu au ndo ananiona mi far*
Watoaji ni wale wale siku zote na walia shida Ni wale wale siku zote.

Watoaji tujifunze kuwapuuza watu tuliowasaidia maana baraka zetu Mungu atatupa kwa wale ambao hatujawahi wasaidia, tuachane na manung'uniko Yana punguza baraka.

Ukimsaidia mtu Ni tusi yaani wengi wao pale Ni Kama umemtukana, wewe una shida na mimi nipo juu yako ndo Mana nakusaidia .Kwakuwa walimwengu Ni wabaya basi anatamani hata akuseme vby tu ili usionekane mwema sana au mgombane ili asilipe huo Msaada.

Namalizia kwakusema watu wakulia shida Ni wabinafsi sana wanakuawaga wamesaidiwa sehemu nyingi na wanaogopa wakitoboa watalipa fadhila sehemu..

Givers should be careful because takers do not have any.
 
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Kwanza pole Kwa madhila yanayokukuta. Lakini kwa upande mwingine naomba nitofautiane nawe Kwa namna hii, wewe hukutenda Wema na kwenda zako, bali ulingoja na bado unangoja shukrani. Kwa maana hiyo, kinachokuumiza si kule kutokusaidiwa na jamaa, BALI MSAADA ULIOTOA unalinganisha na kinachotokea sasa.. wangapi huwajui na hujawahi kuwasaidia WAMEKUPITA ULIPOSIMAMA BILA YA KUKUSAIDIA NA HUWALAUMU?

Ukimsaidia mtu usitegemee malipo, ingawa kibinadamu ni ngumu.
 
Wengine walivyo was*nge anakopa laki leo anaenda tatua shida yake akimaliza anajisahaulisha deni,Kama unavyojua watoaji wote duniani hatujui kudai dai. Anakaa huko weee kama miezi 6 anarudi tena kukopa hazumgumzii deni la nyuma,najiulizaga kwahiyo anahisi nimesahau deni langu au ndo ananiona mi far*
Watoaji ni wale wale siku zote na walia shida Ni wale wale siku zote.




[emoji115] Hapo kama nimekuelewa vile.
Kwakweli huwa wanakera. Mtu anajisahaulisha Sijui ili iweje!?!?!
Ukifatilia chako anakuona msumbufu. Khaaa!
 
N kweli mazingira ndio yalikuwa yanafanya niwe naingia anga za jamaa sio kwamba nilimtafuta alipe fadhila haana

Sikuwahi kukumbuka kama nilimsaidia hadi maisha yalipoyumba ndio nikamwambia hiki na kile sio kwa kuwa nilimsaidia ni kwa sababu ndiorafiki mkubwa kwangu
Ndo ungundue kuwa tunatofautiana na hapo umeshajua hakuwa rafiki sahihi,Wakati mwingine Mungu hurusu majaribu ili ujue rafiki wa kweli
 
Kuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..

Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .

Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...

Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.

Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...

Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.

Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..

Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..


Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..

Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....


Kenge sana huyu....!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hahaaaa
 
Kwanza pole Kwa madhila yanayokukuta. Lakini kwa upande mwingine naomba nitofautiane nawe Kwa namna hii, wewe hukutenda Wema na kwenda zako, bali ulingoja na bado unangoja shukrani. Kwa maana hiyo, kinachokuumiza si kule kutokusaidiwa na jamaa, BALI MSAADA ULIOTOA unalinganisha na kinachotokea sasa.. wangapi huwajui na hujawahi kuwasaidia WAMEKUPITA ULIPOSIMAMA BILA YA KUKUSAIDIA NA HUWALAUMU?

Ukimsaidia mtu usitegemee malipo, ingawa kibinadamu ni ngumu.
No haupo sahihi mkuu kumbuka ni rafiki amgu mkuu tangu utotoni

Na unapopatwa na shida huwez omba msaada popote utawaomba unaowafahamu

Akiwa kama rafiki mkuu ilikua lazima nimwombe si kwa kuwa nadai fadhila hapana n kwa kuwa ndio mmja ya watu waliostahili kwangu kuomba msaada ule
 
Back
Top Bottom