Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,428
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
 
Bro naelewa ni nini unapitia, mimi kuna wakati nasema kuwa i wont help anybody kutokana na mambo kama haya lakini inafikia point nasema basi tu Mungu ndo analipa, mimi imefikia point nimefuta namba za simu zote kwenye simu yangu za watu ambao hawana faida wala manufaa kwangu, nimefuta hata namba za ndugu mpaka wa kuzaliwa .

Kunakipindi mtu unapitia unajiona kama dunia nzima uko peke yako unakutana na mtu unamueleza matatizo yako tena mtu anaekujua kabisa lakini the way ana respond mpaka unakata tamaa unaona haina haja tena ya kueleza shida zako kwa yeyote.
 
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Katika hili jambo kuna kitu muhimu nasema haswa linapokuja swala la kujenga urafiki haswa ule wa kusaidiana, kuna makabila hata uwe na shida gani hawawezi kukusaidia ila wenyewe wanapenda kusaidiwa lakini wao wana roho ngumu na za paka katika kusaidia.

kiukweli mtanisamehe ila utafiti niliufanya ukiwa na urafiki na MPARE,MUHA, MRANGI na MKINGA usije ukategemea umepata rafiki wa shida na raha hata kidogo sahau kiukweli ukiwa na rafiki MUHA,MPARE,MRANGI NA MKINGA jiandae kisaikolojia siku ukipata shida usitegemee kama atakusaidia sahau kabisa hawa watu wameumbwa na mioyo ya husda ni wagumu kutoa vitu vyao kusaidia wenzao ila wao wanapenda sana kusaidiwa ..........

hivyo unapokuwa na urafiki na MPARE,MUHA, MRANGI na MKINGA
 
Mkuu pole sana, vumilia, katika jamii watu wa namna wapo. Japo unajutia msaada ulioutoa ila usikufanye usiwe na moyo tena wa kusaidia, endeleza tabia yako ya kusaidia kadri ya uwezo. Kusaidia sio lazima uwe na mali, msaada hata kwa mawazo chanya juu ya jambo husika.

Jamaa yako ipo siku atakukumbuka ila muda bado haujafika, wanadamu tuna hulka ya kusahau ya nyuma na kusahau waliotusaidia kufika hatua fulani ila tukikwama tunajikuta tunarejea tena kwa wale wale tuliowasahau tena kwa aibu(Muumba wetu atujalie tuepuke hii tabia).
 
Habarini wana-jamiiforum!
Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?
Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.
Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.
Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu
Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha
Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.
Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)
Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!
Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.
Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi
Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana
Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!
iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!
huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!
note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote
age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)

Pole mkuu...ila usijutie kwa wema ulioutenda

Wema ni mtaji...
 
Mkuu pole sana, vumilia, katika jamii watu wa namna wapo. Japo unajutia msaada ulioutoa ila usikufanye usiwe na moyo tena wa kusaidia, endeleza tabia yako ya kusaidia kadri ya uwezo. Kusaidia sio lazima uwe na mali, msaada hata kwa mawazo chanya juu ya jambo husika.
Jamaa yako ipo siku atakukumbuka ila muda bado haujafika, wanadamu tuna hulka ya kusahau ya nyuma na kusahau waliotusaidia kufika hatua fulani ila tukikwama tunajikuta tunarejea tena kwa wale wale tuliowasahau tena kwa aibu(Muumba wetu atujalie tuepuke hii tabia).

Kabisa mkuu
 
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Ukitoa usisubiri Shukrani wala malipo. Mwache wala usisumbuke kumtafuta pambana kivyako vyako utatoboa.
 
Nilimsaidia mdada flani niliyekutana nae Chuo, alikuwa na shida sn kiuchumi, nikapigana mpaka akapata kazi Serikalini kwenye Taasisi nyeti sn, huu ni mwaka wa 4 hakuwahi ht kuniambia asante ya mdomo alivyoripoti kazn akauchuna tu, jamaa yng pia nikamsaidia kupata kazi kwenye Kampuni moja hapa bongo ya mawasiliano lakini alivyopata kazi hakuwahi kunitafuta wala kuniambia asante mpaka alivyoharibu kibarua na wakampiga chini kabisa ndio akanipigia sim nilimtimulia mbali aliniharibia kwa yule bosi mpk leo sina hamu tena ya kumsaidia mtu apate kazi.
 
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Pole mkuu.
 
Watu kama hao wasiokumbuka walipotoka mwisho wao huwa mbaya sana...Sasa Si afadhali huyo kaka,,,Ngoja nikupe stori wengine watajifunza mimi baba yangu alimlea mtoto wa dada ake tangu akiwa ana umri wa miaka 5 mpaka anapata mke,,ni yeye ndiye alimfundisha biashara za sokoni na pia alimpata mtaji baada ya kuzoea akawa anapiga kazi lakini kulala na kula home.

Mungu akamsaidia akatoboa ikafikia jamaa anamiliki magari Daladala zaidi ya 10+ maroli na maduka acha nyumba za kuishi...ila huyo jamaa kwake hataki hata ndugu hata akikuta njiani hata kusaidia hata kwa lift tu salamau hadi umuanze wewe.Alikua yuko radhi ambipu mzee kuliko kumpigia ajabu sana mtu mwenye biashara za maana alikuwa anabipu ili aonekane hana kitu.

Mzee hata kama aliomba laki akopeshwe hatapata hata aombeje,Mwaka 2014 bro wangu alikua anatoka Tunduru na gari ndogo alipofika sehenu moja katikati ya muhoro na somanga gari ikaharibika na pale ni pori kwa bahati akaona fuso inakuja akasimamisha aimbe msaada wa kuvutwa ikasimama,,dereva wa fuso akawa ameshuka amsaidie akakubali kumvuta ila akamwambia ngoja amwambie boss maana yupo nae basi kunwambia aah kumbe ndo jamaa bro akajua kwa sababu ni mtoto wa shangazi mambo yangekuwa poa lakini jamaa alikataa katakata na kusema gari imebeba mzigo mzito hawezi kumvuta mpaka dereva alishangaa baada ya kujua wale ndugu lakini boss analeta ukuda usiku wa saa 4 kumuacha ndugu yake porini.

Bro aliporudi home akamwambia baba kuwa kuanzia leo hana undugu na yule jamaa,maana si binadamu.Jamaa mama alipokuwa anaenda kwake mara nyingi alishindwa kukaa kwa tuhuma za uchawi,siku moja mjukuu wake aliwahi kulalamika kuwa ameibiwa chupi na mjukuu wake Hiyo siku shangazi alilia sana akaondoka n kuaapa hatarudi kwa mtoto wake tena,,,japo walikuja kupatanishwa lakini still maelewano hayakuwa mazuri.

Nifupishe stori,mwaka juzi shangazi alikufa ninavyozungumza sasa yule jamaa amefirisika sana amepoteza karibu 50% ya utajiri wake na hata rafiki zake waliwahi kunfuata mzee kumwambia afanye namba amsaidie mjomba wake anapoelekea ni kubaya.

Kwa hiyo kaka usisikitie kuna watu wana roho mbaya sana na mwisho wao huwa mbaya.
 
Unapo msaidia mtu usitegemee shukurani kutoka kwake
Nimkweli unapomsaidia mtu usitegemee shukrani toka kwake, ila mtu ukipata shida na ukahitaji msaada wazo la kwanza ni kumwomba mtu wako wa karibu huwezi kuanza kuvamia usiowajua wakusaidie labda uwe ombaomba mtaani. Ila mimi wakati nasoma kuna mshikaji alikuwa ananipeleka kukaa kwao ila baadae tukapotezana kwa sasa ni miaka mingi. Ila kuanzia 2015 mambo yalibadilika sana. Akanitafuta akanipata akanieleza kwa kweli naona kama ndugu yangu tu kwa sababu alinisaidia zamani. Hivyo ndugu yangu ukipata shida unaanza na uliyemsaidia kama ana uwezo huwezi kuvamia watu.
 
Inauma sana aseee. Kipindi namaliza chuo nilikuwa sina nauli kabisa ya kurudi home wazazi walipata majanga flan yakawamalizia pesa kabisa. Nikamuomba rafiki yangu kipenzi ambaye nilimsaidia sana na kumtreat kama ndugu kipindi iko alikuwa kapata ajira ya ualimu ana mwaka mzima kazini nikamuomba aniazime japo shilingi elfu kumi na tano then nikifika home ntamrudishia huwezi amini jamaa alininyima iliniuma saaana nikajifunza kitu ukiwa na shida watu wanakukimbia
 
Back
Top Bottom