Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Umeshawahi kujutia kumsaidia mtu?

Dah!! Mkuu ulifika mbali sana!!!
alifanya jambo zuri ambalo limempunguzia maumivu ya nafsi aliyekuwa nayo. fikiri vizuri, hiyo laptop angeilipa vipi kama asingepata hiyo hela? kama alikopa , unajua alimaliza vipi deni? unajua alifanya lipi au alifanywa nini kuilipa hiyo laptop? Jamaa kafanya jambo la maana sana, na hilo ni funzo la uaminifu.
 
Watu kama hao wasiokumbuka walipotoka mwisho wao huwa mbaya sana...Sasa Si afadhali huyo kaka,,,Ngoja nikupe stori wengine watajifunza mimi baba yangu alimlea mtoto wa dada ake tangu akiwa ana umri wa miaka 5 mpaka anapata mke,,ni yeye ndiye alimfundisha biashara za sokoni na pia alimpata mtaji baada ya kuzoea akawa anapiga kazi lakini kulala na kula home.

Mungu akamsaidia akatoboa ikafikia jamaa anamiliki magari Daladala zaidi ya 10+ maroli na maduka acha nyumba za kuishi...ila huyo jamaa kwake hataki hata ndugu hata akikuta njiani hata kusaidia hata kwa lift tu salamau hadi umuanze wewe.Alikua yuko radhi ambipu mzee kuliko kumpigia ajabu sana mtu mwenye biashara za maana alikuwa anabipu ili aonekane hana kitu.

Mzee hata kama aliomba laki akopeshwe hatapata hata aombeje,Mwaka 2014 bro wangu alikua anatoka Tunduru na gari ndogo alipofika sehenu moja katikati ya muhoro na somanga gari ikaharibika na pale ni pori kwa bahati akaona fuso inakuja akasimamisha aimbe msaada wa kuvutwa ikasimama,,dereva wa fuso akawa ameshuka amsaidie akakubali kumvuta ila akamwambia ngoja amwambie boss maana yupo nae basi kunwambia aah kumbe ndo jamaa bro akajua kwa sababu ni mtoto wa shangazi mambo yangekuwa poa lakini jamaa alikataa katakata na kusema gari imebeba mzigo mzito hawezi kumvuta mpaka dereva alishangaa baada ya kujua wale ndugu lakini boss analeta ukuda usiku wa saa 4 kumuacha ndugu yake porini.

Bro aliporudi home akamwambia baba kuwa kuanzia leo hana undugu na yule jamaa,maana si binadamu.Jamaa mama alipokuwa anaenda kwake mara nyingi alishindwa kukaa kwa tuhuma za uchawi,siku moja mjukuu wake aliwahi kulalamika kuwa ameibiwa chupi na mjukuu wake Hiyo siku shangazi alilia sana akaondoka n kuaapa hatarudi kwa mtoto wake tena,,,japo walikuja kupatanishwa lakini still maelewano hayakuwa mazuri.

Nifupishe stori,mwaka juzi shangazi alikufa ninavyozungumza sasa yule jamaa amefirisika sana amepoteza karibu 50% ya utajiri wake na hata rafiki zake waliwahi kunfuata mzee kumwambia afanye namba amsaidie mjomba wake anapoelekea ni kubaya.

Kwa hiyo kaka usisikitie kuna watu wana roho mbaya sana na mwisho wao huwa mbaya.
Duh
 
Wema hauozi, utakuja kutusua kwa namna nyingine ambayo hujatarajia, pambana na usikate tamaa
 
No haupo sahihi mkuu kumbuka ni rafiki amgu mkuu tangu utotoni

Na unapopatwa na shida huwez omba msaada popote utawaomba unaowafahamu

Akiwa kama rafiki mkuu ilikua lazima nimwombe si kwa kuwa nadai fadhila hapana n kwa kuwa ndio mmja ya watu waliostahili kwangu kuomba msaada ule
Inawezekana sipo sahihi, lakini kinachokuumiza ni Kwa vile ulimsaidia SANA siku za nyuma. Kama ungekuwa hujawahi kumsaidia pengine hata huu uzi usingeuanzisha
 
Watu kama hao wasiokumbuka walipotoka mwisho wao huwa mbaya sana...Sasa Si afadhali huyo kaka,,,Ngoja nikupe stori wengine watajifunza mimi baba yangu alimlea mtoto wa dada ake tangu akiwa ana umri wa miaka 5 mpaka anapata mke,,ni yeye ndiye alimfundisha biashara za sokoni na pia alimpata mtaji baada ya kuzoea akawa anapiga kazi lakini kulala na kula home.

Mungu akamsaidia akatoboa ikafikia jamaa anamiliki magari Daladala zaidi ya 10+ maroli na maduka acha nyumba za kuishi...ila huyo jamaa kwake hataki hata ndugu hata akikuta njiani hata kusaidia hata kwa lift tu salamau hadi umuanze wewe.Alikua yuko radhi ambipu mzee kuliko kumpigia ajabu sana mtu mwenye biashara za maana alikuwa anabipu ili aonekane hana kitu.

Mzee hata kama aliomba laki akopeshwe hatapata hata aombeje,Mwaka 2014 bro wangu alikua anatoka Tunduru na gari ndogo alipofika sehenu moja katikati ya muhoro na somanga gari ikaharibika na pale ni pori kwa bahati akaona fuso inakuja akasimamisha aimbe msaada wa kuvutwa ikasimama,,dereva wa fuso akawa ameshuka amsaidie akakubali kumvuta ila akamwambia ngoja amwambie boss maana yupo nae basi kunwambia aah kumbe ndo jamaa bro akajua kwa sababu ni mtoto wa shangazi mambo yangekuwa poa lakini jamaa alikataa katakata na kusema gari imebeba mzigo mzito hawezi kumvuta mpaka dereva alishangaa baada ya kujua wale ndugu lakini boss analeta ukuda usiku wa saa 4 kumuacha ndugu yake porini.

Bro aliporudi home akamwambia baba kuwa kuanzia leo hana undugu na yule jamaa,maana si binadamu.Jamaa mama alipokuwa anaenda kwake mara nyingi alishindwa kukaa kwa tuhuma za uchawi,siku moja mjukuu wake aliwahi kulalamika kuwa ameibiwa chupi na mjukuu wake Hiyo siku shangazi alilia sana akaondoka n kuaapa hatarudi kwa mtoto wake tena,,,japo walikuja kupatanishwa lakini still maelewano hayakuwa mazuri.

Nifupishe stori,mwaka juzi shangazi alikufa ninavyozungumza sasa yule jamaa amefirisika sana amepoteza karibu 50% ya utajiri wake na hata rafiki zake waliwahi kunfuata mzee kumwambia afanye namba amsaidie mjomba wake anapoelekea ni kubaya.

Kwa hiyo kaka usisikitie kuna watu wana roho mbaya sana na mwisho wao huwa mbaya.
Kuna habari ukisimiliwa unaweza ukapata nafuu SANA ukilinganisha na iliyoyapitia. HUYU NDUGU ATAPOTEA VIBAYA.
 
Habarini wana-jamiiforum!

Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?

Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.

Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.

Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu

Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha

Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.

Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)

Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!

Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.

Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi

Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana

Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!

iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!

huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!

note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote

age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Mkuu wengine wanapesa zenye masharti magumu. Hapo omba Mungu isije ikawa anatembelea nyota yako, kama amekushika nyota kutusua itakuwa ngumu ila kama nyota bado inang'aa utatusua tu usiogope.
 
Katika hili jambo kuna kitu muhimu nasema haswa linapokuja swala la kujenga urafiki haswa ule wa kusaidiana, kuna makabila hata uwe na shida gani hawawezi kukusaidia ila wenyewe wanapenda kusaidiwa lakini wao wana roho ngumu na za paka katika kusaidia.

kiukweli mtanisamehe ila utafiti niliufanya ukiwa na urafiki na MPARE,MUHA, MRANGI na MKINGA usije ukategemea umepata rafiki wa shida na raha hata kidogo sahau kiukweli ukiwa na rafiki MUHA,MPARE,MRANGI NA MKINGA jiandae kisaikolojia siku ukipata shida usitegemee kama atakusaidia sahau kabisa hawa watu wameumbwa na mioyo ya husda ni wagumu kutoa vitu vyao kusaidia wenzao ila wao wanapenda sana kusaidiwa ..........

hivyo unapokuwa na urafiki na MPARE,MUHA, MRANGI na MKINGA
Sio wote jamaa yangu rekebisha kauli yako, nina mifano mizuri tu ya baadhi ya hayo makabila ni watu wenye moyo wa kusaidia sana na wenye upendo wa kweli.
 
Sijaelewa Ila ukimsaidia mtu sifikirii Kama unamsubiri akulipe unapokwama ni bora usisaidie huyo mtu hata Kwa kidogo maana utakuwa too disappointed.
 
Kuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..

Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .

Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...

Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.

Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...

Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.

Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..

Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..


Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..

Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....


Kenge sana huyu....!
Usimuamin mtu ambaye umeachana naye zaid ya miaka miwil au mitatu
 
Back
Top Bottom