issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Hongera kwa kumkataa huyo mpuuziTena yanafanywa na watu tusiowadhania. Unakuta njemba ina misuli mikubwa na ndevu nyingi kumbe anafirwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kumkataa huyo mpuuziTena yanafanywa na watu tusiowadhania. Unakuta njemba ina misuli mikubwa na ndevu nyingi kumbe anafirwa
Kwa heshima yako mzee wangu Ushimen basi bwana kijana wako hapa🤣demu wangu si akaniacha Baada ya kugundua ninatokea familia ya kawaida ilhal wazazi wake walimwambia aolewe kwenye familia yenye ukwasi akaamua kuniacha ,miaka miwili mbele Yani 2021 hadi 2024 kapata bwana kampa gari!Hii tunaita nguvu ya upendo na sio eti kwakua ni penzi jipya...😊
Upendo unanguvu mkuu, ukiacha haya mapenzi baby, sweet, honey and ect.....🤨
Je mungu aluwapunguzia matumbo wanaume wa dar?Mkuu hii ni dinner siunaona nimetengewa tayari na mama watoto?
Ukiona hivyo jamaa kazichuma za kutosha.. account imenona hawezi kiondoka kizembe hivyoYani ukatake pesa kisa mapenzi ? Itabidi uhudhurie humu upesi sana.View attachment 3233777
sisi si warafi kama ninyi wa Kanda ya ziwa hukoJe mungu aluwapunguzia matumbo wanaume wa dar?
Na kama ni kweli sio chai bas jamaa atakuwa amemtapeli sangaz... Karma haita mwacha salamaHapa umetunywesha chai...
Nimesoma tu Anja ya habari , kumbe kuna jamaa kazichuma tena?Ukiona hivyo jamaa kazichuma za kutosha.. account imenona hawezi kiondoka kizembe hivyo
Kuna mahali lazima ulikua unakosea ama huyo binti hakua amekupenda zaidi ya kutaka penzi lako...😊Kwa heshima yako mzee wangu Ushimen basi bwana kijana wako hapa🤣demu wangu si akaniacha Baada ya kugundua ninatokea familia ya kawaida ilhal wazazi wake walimwambia aolewe kwenye familia yenye ukwasi akaamua kuniacha ,miaka miwili mbele Yani 2021 hadi 2024 kapata bwana kampa gari!
Mie bado natembea kwa miguu, sidhani, kama kuna upendo wa ukweli mbele ya mali
Hapana, mapenzi huwa yanatushangaza wakati mwingine!Hapa umetunywesha chai.
😁Sema Ata ningekuwa mimi ndo yeye kwa hili jua la dodoma😁ningepokea gari simlaumuKuna mahali lazima ulikua unakosea ama huyo binti hakua amekupenda zaidi ya kutaka penzi lako...😊
Inategemea unaweza kuta ana matako mazuriKumwambia limama limtu lizima kuwa unampenda yeye ndo mwanamke wa ndoto zako hata lenyewe linajua unalidanganya tu, ila ndo hivyo mwanaume inabidi uwe jasiri kwenye utafutaji
Dah ex wako amelevel up na wewe umekubali uhalisia. Safi!Kwa heshima yako mzee wangu Ushimen basi bwana kijana wako hapa🤣demu wangu si akaniacha Baada ya kugundua ninatokea familia ya kawaida ilhal wazazi wake walimwambia aolewe kwenye familia yenye ukwasi akaamua kuniacha ,miaka miwili mbele Yani 2021 hadi 2024 kapata bwana kampa gari!
Mie bado natembea kwa miguu, sidhani, kama kuna upendo wa ukweli mbele ya mali
Yani unataka kusemajeKumwambia limama limtu lizima kuwa unampenda yeye ndo mwanamke wa ndoto zako hata lenyewe linajua unalidanganya tu, ila ndo hivyo mwanaume inabidi uwe jasiri kwenye utafutaji
😝Ujue kushindana na nyinyi dada zetu, mama zetu ni kujitakia shida tuDah ex wako amelevel up na wewe umekubali uhalisia. Safi!
Gusa achia Twende kwao, hajakupenda huyo ni mvivu tu kutembeza vyombo vya wahaYani unataka kusemaje![]()
Mimi siyo limama ni mshangazi na nina kijana wangu nimemzidi 15 years, anasema anipenda kila siku na mimi ndiyo tulizo lake. Sitakiwi kumuamini au?
Naomba kwenye mgao uniweke na mimi 😹Mwambie anichukulie mimi yeye kama hataki Mxiuuuuuu 😅😅😅