Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah inaumiza,inakuwa hivi unaempenda hakupendi anakupenda humpendiKuna mtu nishawahi mpenda,afu akashindwa kuthamini upendo wangu kwake....aisee,mwamba.... nilikuwa real kwake...
Kwa upendo niliokuwa nao juu yake,I swear... nilikuwa tayari kuacha kilakitu...yaan kilakitu...
Wanaume, mwanamke akikupenda afu akawa na hasira sana juu ya matendo yako mabaya unayomfanyia....yaan hasira muda wote ila haondoki anavumilia...huyo mthamini,yupo tayari kukubeba kwa namna yoyote ile.
Kupenda kupo ila sema wanaume mnapoteza wake zenu wa maisha kwa sababu ya kauli mbiu yenu eti anaomba hela...ulitaka amwombe nani? Kakuomba Mara ngapi baada ya kumpa Mara ngapi?....
Hii dunia tutaendelea kuyaogopa mapenzi kwa sababu ya kujawa na ubinafsi....Kuna mabinti mnawachezea,wanalia machozi mnaona sifa na kujitutumua ....lakini nawaambieni ukweli....hawalii kuigiza,wanahisia nanyi...
Nimeandika mno,nilimaanisha upendo wa kweli upo,na mtu akishapenda haoni shida kupoteza kilakitu kwa sababu ya upendo.🥴
Mwanamke mwenye miaka 50 ni mbibi, miaka 35+jimamaLishangazi / Mshangazi - 37 to 50 (yuko single hajawahi kuolewa au aliolewa akaachika au kafiwa etc. - mkubwa na amekupita kuanzia miaka 10 mpaka 20 ana T3).
Mmama / Jimama - 50 - 70 (huyu anaweza kuwa mama yako mpaka bibi yako, wengi washafiwa na waume au wameachika, haijalishi ana muonekano gani kikubwa ana hela na anakupenda).
Acha tamaaaaMwambie anichukulie mimi yeye kama hataki Mxiuuuuuu 😅😅😅
Dah pole sana. Mapenzi matamu lakini nyie dah. Ebu jaribu kunipenda mie. I promise i wont break ur heart teacherKuna mtu nishawahi mpenda,afu akashindwa kuthamini upendo wangu kwake....aisee,mwamba.... nilikuwa real kwake...
Kwa upendo niliokuwa nao juu yake,I swear... nilikuwa tayari kuacha kilakitu...yaan kilakitu...
Wanaume, mwanamke akikupenda afu akawa na hasira sana juu ya matendo yako mabaya unayomfanyia....yaan hasira muda wote ila haondoki anavumilia...huyo mthamini,yupo tayari kukubeba kwa namna yoyote ile.
Kupenda kupo ila sema wanaume mnapoteza wake zenu wa maisha kwa sababu ya kauli mbiu yenu eti anaomba hela...ulitaka amwombe nani? Kakuomba Mara ngapi baada ya kumpa Mara ngapi?....
Hii dunia tutaendelea kuyaogopa mapenzi kwa sababu ya kujawa na ubinafsi....Kuna mabinti mnawachezea,wanalia machozi mnaona sifa na kujitutumua ....lakini nawaambieni ukweli....hawalii kuigiza,wanahisia nanyi...
Nimeandika mno,nilimaanisha upendo wa kweli upo,na mtu akishapenda haoni shida kupoteza kilakitu kwa sababu ya upendo.🥴
Nipo penzini wangu,huyu at least kidogo... maana daahDah pole sana. Mapenzi matamu lakini nyie dah. Ebu jaribu kunipenda mie. I promise i wont break ur heart teacher
Sad😔Fs
Daah inaumiza,inakuwa hivi unaempenda hakupendi anakupenda humpendi
Umeona bora tuu utafute penzi au sioNipo penzini wangu,huyu at least kidogo... maana daah
Sasa mi siwezi kuishi bila kusex....ni lazima niwe na mwenzangu🥴Umeona bora tuu utafute penzi au sio
Enjoy teacher...sex ndio burudani nam ari oneSasa mi siwezi kuishi bila kusex....ni lazima niwe na mwenzangu🥴
😋😘Enjoy teacher...sex ndio burudani nam ari one
Na kweli 😅Acha tamaaaa
Naomba connection hyo please, 🥺 kama sio story naomba sana sana nko seriously 😳 😣Mapenzi Shikamoo!
Usiku huu nimeshuhudia mkaka anarudisha gari na fremu ya biashara kwa mmama aliyekua anadate naye sababu amepata msichana anayempenda na anataka kumuoa. Huyu mkaka amekua na mahusiano na huyu mmama ambaye ni rafiki yetu kwa zaidi ya miaka mitatu. Aliacha ajira serikalini, akafunguliwa biashara, akapewa gari na mwaka huu kalipiwa fremu yake ya pili kodi mwaka mzima apanue biashara zake.
Nyuma ya pazia kumbe alikutana na msichana, akampenda na akamwambia kila kitu kuhusu mmama wake anayefadhili lifestyle yake. Msichana akamwambia achague kati ya yeye au mmama na kama anampenda arudishe vitu vyote alivyopewa na waanze maisha upya wao kama wao.
Leo kijana kaja na karudisha kila kitu including gari lilikokua na jina lake na umiliki wake halali. Rafiki yetu naye anaugulia maumivu na hataki vitu vilivyorudishwa anasema yule kijana avichukue tu, upande wa pili mkaka hawezi kwa sababu demu wake mpya hataki.
Vipi, ushawahi kukataa hela au kuachia kitu chenye gharama kwa sababu ya mapenzi?
View attachment 3233769
Oyaa 😂 😂 😂Naomba connection hyo please, 🥺 kama sio story naomba sana sana nko seriously 😳 😣
Wew ni zaid ya nduguOyaa 😂 😂 😂
Usisahau USAIDS
Noma. Hizo mambo ni sumu tamu. Wala usitamani.Aloo
Wew ni zaid ya ndugu