masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha, angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana.
Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani.
Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza halafu ukamjibu ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana.
Yaani lilikuwa jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado imagine hiyo jana.
Sina muda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka. Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana. Imagine uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la huzuni.
Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana.
Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani.
Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza halafu ukamjibu ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana.
Yaani lilikuwa jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado imagine hiyo jana.
Sina muda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka. Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana. Imagine uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la huzuni.
Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana.