Umeshawahi kukutana na mtu anachekesha sana bila kutumia nguvu?

Umeshawahi kukutana na mtu anachekesha sana bila kutumia nguvu?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha, angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana.

Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani.

Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza halafu ukamjibu ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana.

Yaani lilikuwa jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado imagine hiyo jana.

Sina muda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka. Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana. Imagine uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la huzuni.

Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana.
 
Hao ukiwapa stage wanapuyanga, comedy sio jambo rahisi ujue.

Hao kama huyo jamaa wapo wengi tu kitaa, kuna mtu story ya yeye kutoka geto kwake kufata vocha akapisha tu na mdada mzuri, yeye anaiboresha anatia chumvi kibao mpaka story iishe hamna mbavu.

Tunao, tunaishi nao. Ujue content huisha eeeh. Si unaona hata comedians wetu wanavyoishiwa mavitu.
 
Kuna jamaa alipita sokoni akawa anaimba rege na kutoa sauti yenye milio ya gitaa kwa mdomo.

Nilitaka kumrekodi ili niusambaze ujuzi wake ila akanifokea sana kwamba nisipige picha.

Kuna watu wana vipaji ila hawataki ushauri
 
E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana
Tulikua abiria watatu na dereva,pikipiki ikapita kwa speed sana ndo akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani
Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza alafu ukamjib ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana
Yaani lilikia jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado inagne hiyo jana
Sina mda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka
Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana
Imagne uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la uzuni
Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana
mimi huwa naona mtu mwenye lafudhi ya mkoani haswa awe muha wa kigoma, awe mmakonde au mzaramo huwa wanachekesha sana. Au mfano Eliudi wa cheka tu yule mnyakyusa huwa anachekesha kwa lafudhi. Hata marehemu mzee majuto alikuwa na lafudhi fulani ya pwani na kile kicheko chake mimi huwa alikuwa ananifurahisha sana.
 
Koi Mzungu Niko hapa ,mlete hapa wasafi FM mbezi beach Kwa Zena hapa nimuunganishe na "cheka tu"
 
Kuna watu wanachekesha sana ukikaa nao utacheka mpaka tumbo linachoka kucheka
 
FB_IMG_17138932297130528.jpg
 
Angalia na hii
Jinsi mwamba alivyovunja watu mbavu
Ukisikia kuvunja mbavu ndiyo huku sasa
Lugha ni kizulu lakini video inavutia kuiangalia


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana
Tulikua abiria watatu na dereva,pikipiki ikapita kwa speed sana ndo akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani
Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza alafu ukamjib ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana
Yaani lilikia jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado inagne hiyo jana
Sina mda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka
Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana
Imagne uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la uzuni
Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana
Ungerekodi hata dakika 1 mkuu, tucheke pia.
 
E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha, angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana.

Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani.

Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza halafu ukamjibu ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana.

Yaani lilikuwa jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado imagine hiyo jana.

Sina muda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka. Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana. Imagine uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la huzuni.

Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana.
Sawa,

Kwa hiyo umeleta hapa JF ili sisi tufanyaje?
 
Back
Top Bottom