harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Siyo Abiudi huyo kweli?Kuna jamaa alipita sokoni akawa anaimba rege na kutoa sauti yenye milio ya gitaa kwa mdomo.
Nilitaka kumrekodi ili niusambaze ujuzi wake ila akanifokea sana kwamba nisipige picha.
Kuna watu wana vipaji ila hawataki ushauri
Wateule huwa ni wachawi wachawi tu halafu wanaweka ugoro. samejakuna bajaji moja niliipita kuna mijitu ilikuwa inacheka kama wehu kumbe ndio mlikuwa nyie
Siyo huyu japo wanafanana kila kitu kwenye kipaji
aiseeeSiyo huyu japo wanafanana kila kitu kwenye kipaji
Ukimsikiliza bwana kelvin hart akiwa anahojiwa tu,sio ukumbini kwenye kiingilio,utajua kweli kuchekesha ni kipaji.jamaa huwa anachekesha kwa kila story yake,hata za maisha ya kawaida tu akikusimulia.
Mlicheka sana kwakuwa hamkuwa mmelipa kiingilio kwaajili ya kwenda kuchekeshwa. Ni ngumu kidogo kuchekesha watu waliotoka nyumbani kwenda kuchekeshwa.
Alisemaje mkuu?E bana jana kwenye bajaji nimekutana na jamaa mmoja anakipaji cha kuchekesha, angepata exposure sipati picha kwenye stage angekalisha sana.
Tulikua abiria watatu na dereva, pikipiki ikapita kwa speed sana ndio akaanza kuelezea mkasa wake wa ajali wakiwa wamepakizwa kwenye fekon huko mkoani.
Aisee kikawaida mtu angeelezea ungemsikiliza halafu ukamjibu ikaisha ila wooote ikiwemo dereva mpaka anamaliza story kila mmoja amekaukia anacheka sana.
Yaani lilikuwa jambo la kusikitisha lakini mimi binafsi mpaka naandika hapa nacheka bado imagine hiyo jana.
Sina muda mrefu sijacheka namna hii mpaka machozi yalitoka. Yule jamaa angepata exposure ni comedian level za juu sana. Imagine uchekeshe bajaji nzima tena kwa jambo la huzuni.
Aisee guys huyu jamaa anakipaji sana.
Hamna kitu hapoAngalia na hii
Jinsi mwamba alivyovunja watu mbavu
Ukisikia kuvunja mbavu ndiyo huku sasa
Lugha ni kizulu lakini video inavutia kuiangalia
View attachment 2974306
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app