Umeshawahi kukutana na mtu anachekesha sana bila kutumia nguvu?

Oya kumchekesha mtu zima tena live ni kazi sana..
Waheshimu sana wale wa live comedy na watu wanacheka!
 

Mlicheka sana kwakuwa hamkuwa mmelipa kiingilio kwaajili ya kwenda kuchekeshwa. Ni ngumu kidogo kuchekesha watu waliotoka nyumbani kwenda kuchekeshwa.
Ukimsikiliza bwana kelvin hart akiwa anahojiwa tu,sio ukumbini kwenye kiingilio,utajua kweli kuchekesha ni kipaji.jamaa huwa anachekesha kwa kila story yake,hata za maisha ya kawaida tu akikusimulia.

Mtu mwenye kipaji huwa hatumii nguvu kabisa,kuna jamaa tukiwa wadogo tunacheza mchezo wa kombolela,akiwa yeye ndiye ana zamu ya kutafuta,hachukui dkk 5 kashawashika wote😅😅😅.
Ataanza kujiongelesha upuuzi wewe ukisikia lazima uangue kicheko.
 
Alisemaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…