Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
We mbusiii, unakumbuka tulivyokuwa tunalima ngwara pale Langai, Orkesmet ulikuwa hutaki kuzila ndio maana umekuwa mduanzi kinyamaaaa.Mnawakuza sana wakenya eti wana uwezo mkubwa wa kufikiri. Sasa uwezo gani wa kufikiri wakenya wanayo? Acheni mambo ya kindezi. IQ uchwara ya adriz na Chaliifrancisco tu imezidi za mamillion wengi wa Kenya