Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Ahahah! gaidi... u can't force love asee,

IMG_20210523_220839_523.JPG
 
Nakumbuka miaka 6 nyuma kuna binti niliwahi kumpenda sana sasa katika mahusiano tulifikia kile kipindi kile mahusiano yapo too toxic kila nikijitahidi kuliokoa penzi kuliokoa tusiachane lakini wapi.

Mwisho wa siku nilikubali matokeo niliumia sana lakini mwisho wa siku ilibidi nikubali kumwacha wakati yeye alishaniacha siku nyingi sana.
Form six hatimae mmeingia mtaani
Hongereni Sana
 
Nakumbuka miaka 6 nyuma kuna binti niliwahi kumpenda sana sasa katika mahusiano tulifikia kile kipindi kile mahusiano yapo too toxic kila nikijitahidi kuliokoa penzi kuliokoa tusiachane lakini wapi.

Mwisho wa siku nilikubali matokeo niliumia sana lakini mwisho wa siku ilibidi nikubali kumwacha wakati yeye alishaniacha siku nyingi sana.
Mwenyewe niliwai pambana sana mwisho wa siku aliniacha tena akiwa na mimba yangu na mtoto akapelekewa baba mwingine ni bonge la storii ipo siku nitaileta mbele yenu hapa
 
Venye nlimpenda yule msupuu,ila kaja nambia amecheat ilikuwa almanusra nijinyonge,kumbe na yy alishajua nipo weak kwake kwa hyo hata akinambia kafanya kosa gani nitamsamehe,awamu hii nmeamua kukazaa hakuamini,mwenyew ndo aliamua kuwa tuachane,ila cha kushangaza alitaka kumtumia rafik yake anipange ila alichokitafuta huyo rafk yake nae kakipata,huu n mwz ya nne hakuna mawasiliano yyte na wala sitaki msikia...though mwanzon iliniwiya vigumu kidogo
 
Back
Top Bottom