Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kuacha ni kupendana hadi pumzi ya mwishoNdo kanuni ya niliye nae.Bas nimebakinamtazama tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Nina mwingine ninaishi nae kwa akili
Achana naeMimi kuna manzi nimetoka kumbembeleza mwezi mmoja umepita, tangu siku iyo sikumtafuta tena kabisa na yeye hajanitafuta kabisa, keshokutwa tarehe 10 ni birth day yake, nawaza hapa nim-wish au ntaonekana najipendekeza????
My dear, kindly allow me to teach you a lesson when it comes to love, embu tuwe wote nikupende halafu nikusalitui vizuri mpka ukome kupenda penda kama wafilipino, njoo dm na contacts zako nikulambue,looking back to hear from you as soon as you will come across the text!Ntajitahidi kuuelewesha moyo, na nna hako kaweakness napenda mazima tena nakua sioni sisikii sasa ikitokea breakup huwa inakula kwangu😒
Mkuu, do you feel proud to hurt someone's heart? That's not good and fair.🙄 siku yatakurudia piaMy dear, kindly allow me to teach you a lesson when it comes to love, embu tuwe wote nikupende halafu nikusalitui vizuri mpka ukome kupenda penda kama wafilipino, njoo dm na contacts zako nikulambue,looking back to hear from you as soon as you will come across the text!
Pole soulimeti [emoji24][emoji24][emoji24]Nishawahi kumbembeleza mtu asiniache hadi nikaona basi sasa acha aniache tu aargh[emoji848]
Thank you Salimeti 😍 nishapoa kidogo sahiviPole soulimeti [emoji24][emoji24][emoji24]
Mimi kuna manzi nimetoka kumbembeleza mwezi mmoja umepita, tangu siku iyo sikumtafuta tena kabisa na yeye hajanitafuta kabisa, keshokutwa tarehe 10 ni birth day yake, nawaza hapa nim-wish au ntaonekana najipendekeza????
Ume mjibu nini?2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..
Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
kausha,mfungie vioo,ndio dawa yakeMimi kuna manzi nimetoka kumbembeleza mwezi mmoja umepita, tangu siku iyo sikumtafuta tena kabisa na yeye hajanitafuta kabisa, keshokutwa tarehe 10 ni birth day yake, nawaza hapa nim-wish au ntaonekana najipendekeza????
Sio mbaya,mtakie tu kheriMimi kuna manzi nimetoka kumbembeleza mwezi mmoja umepita, tangu siku iyo sikumtafuta tena kabisa na yeye hajanitafuta kabisa, keshokutwa tarehe 10 ni birth day yake, nawaza hapa nim-wish au ntaonekana najipendekeza????
Acha wafute machozi kwa kuelezea matukio Yao😅Mnalia sana humu.
Acha ufala.Mimi kuna manzi nimetoka kumbembeleza mwezi mmoja umepita, tangu siku iyo sikumtafuta tena kabisa na yeye hajanitafuta kabisa, keshokutwa tarehe 10 ni birth day yake, nawaza hapa nim-wish au ntaonekana najipendekeza????
Ndani ya hiyo miaka kumi ulikuwa umeshaachwa zamani sanaMimi Miaka Miwili Sasa Nambembeleza Arudi Ndoa ya Miaka kumi ikavunjika Sababu mpaka leo hazieleweki... Yule mwanamke amejua kunitesa...!!! Nimeshindwa kabisa kumove on... Plz hivi Ni kupenda au ninaumwa... Nakaribisha ushauri hata PM