kipozi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 1,315
- 1,702
Yeah unakuja kusahau kabisaTime is a best friend, i never knew kuna siku ningemsahau kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah unakuja kusahau kabisaTime is a best friend, i never knew kuna siku ningemsahau kabisa.
Yanatesa vibaya mno,maumivu yake hayaelezek[emoji1787][emoji1787][emoji1787] my dear acha tu mapenzi yanatesa
Imagine na mtu akaniambia niondokee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Aiseee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]Imagine na mtu akaniambia niondokee
I was Totally a fool/idiot
Hivi mwanaume mwenye hela huwa anaachwaNakumbuka miaka 6 nyuma kuna binti niliwahi kumpenda sana sasa katika mahusiano tulifikia kile kipindi kile mahusiano yapo too toxic kila nikijitahidi kuliokoa penzi kuliokoa tusiachane lakini wapi
Mwisho wa siku nilikubali matokeo niliumia sana lakini mwisho wa siku ilibidi nikubali kumwacha wakati yeye alishaniacha siku nyingi sana
Unahisi kimojawapo hapo ni sababu ya mimi kuachwa mkuu? Kama una kitu cha kushauri you just do it bila kujali nundu au flat.Una nundu au flat
Vp umesamehe au ume move on?,2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..
Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
Huyu jamaa ulimpenda Sana....Dah nakumbuka nilimpigia magoti mtu barabarani
Daaah mapenz haya [emoji23][emoji23]
Nimemove onVp
Vp umesamehe au ume move on?,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengine sijui ndio hatujui kupenda[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji3][emoji3] tayariNa oktoba 20 asisahau kwenda kupiga Kura au tushapiga
Miezi 6 una bembeleza !? Hahahaha kuna watu mmeshindikanaMi nimenawa mikono April 1 2021 baada ya kubembeleza for 6 months huyo mwanamke abakie nami. All shall be well
Hamna nikujifunza tu Tokana na changamoto tulizo wahi kupitia Hatimae tumeamua kujipenda sisi kwanzaWengine sijui ndio hatujui kupenda[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji124]Wengine sijui ndio hatujui kupenda[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Angekuwa chuo, alistahili degree ya heshima huyu. Anaonesha ni mvumilivu.Miezi 6 una bembeleza !? Hahahaha kuna watu mmeshindikana
Mkuu, Waridi mbona ni jina la X wangu pia na sasa yupo Dar pia... Mpaka nimeshangaa isijekuwa ni the same girl. Wanawake hawa!!Waridi popote ulipo nakutafuta najua upo Dar.
Ndo kanuni ya niliye nae.Bas nimebakinamtazama tuUnaniacha afu iweje? Hakuna kuniacha ni tutapendana tu