mkosa shingo
Member
- Jan 26, 2021
- 93
- 127
HahahahahaMiaka 6!
Nakupa phd ya Love bembelezaring and applied science
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaMiaka 6!
Nakupa phd ya Love bembelezaring and applied science
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nililitaka kujifanya lavalava, goodboy, zee la kupetipeti ila yamenishinda aisee.
Hivi mimi wa kupiga simu more than ten times na zisipokelewe.! Kameanza kujilizaliza ila nimeapa silegezi kamba whatever the fvck it is, mamaeee
Kupiga sim ten times huo Ni usumbufu ...missed call moja inatoshaNililitaka kujifanya lavalava, goodboy, zee la kupetipeti ila yamenishinda aisee.
Hivi mimi wa kupiga simu more than ten times na zisipokelewe.! Kameanza kujilizaliza ila nimeapa silegezi kamba whatever the fvck it is, mamaeee
Najua, ila kama ningekuelezea scenario nzima from the start ungeelewa kwa nini nilikuwa napiga mara nyingi, ila kiufupi ni kuwa nilijitahidi sana kulipambania sana hilo penzi nikijifunza kupenda ile ya kufa kuoza (mimi nina asili ya ubandidu, sibembelezagi sana so nilitaka kujifunza mapenzi ya kifilipino kwa huyu). Ila kwa kilichonikuta nime'reset settings zangu to factory setting....MamaeeKupiga sim ten times huo Ni usumbufu ...missed call moja inatosha
🎶Penzi langu likivunjika niombee🎶😀😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona hii stori ni kama yangu au umenizunguka P? [emoji23][emoji23][emoji23]me nilimuacha ila badae moyo uliumia kwa sababu niliona nmefanya ukatil sana na aliamua kuhama kabsa mkoa kwa ajil yangu.uyu dem tulipendana Sana hasa yy ndo alinipenda kupindukia
ilifikia hatua akata kunywa sumu et kisa mimi.
unajua mpaka naanza kumuona wa kawaida yaan sio mzuri ni pale nilipojiingiza kwenye inshu za kubet[emoji1][emoji1].aseee ukiingia kule kila ktu kinabadilika ado akili
ila badae nilimrudia nikamtumia naul akarud bado akazidisha mahaba nikaona isiwe kesi nikamchakata heavy game nikamjaza mimba,kuja kujifungua akajifungua mapacha bahat mbaya hawakuchukua round walifarik wote wawil.
ila sikumuacha niliendelea kuchochea upendo saiv ana mimba na huduma nampa sana tu .nategemea kumuoa mwaka kesho.
ila WANAWAKE MNAONGOZA KUPENDA SANA SINA UZOEFU NA MASILEIKWINI
Anzisheni Uzi wenu.Je kwa wale waliowahi kutaka kuachana na wapenzi wao lakini wakawa ving'ang'anizi hata hawakuachana tunacomment wapi ?
Umeandika utafikiri wewe ndo Mimi.2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..
Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
njia sahihi mkuu,nikufanyaje?Shida saizi mtu unayempenda ukimweleza ukweli anaona uongo, au hana habari nawewe.....nayeye kumbe anahaha kuna mtu anampenda........haya maisha Acha tu yawe ivyo........