Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

Nililitaka kujifanya lavalava, goodboy, zee la kupetipeti ila yamenishinda aisee.

Hivi mimi wa kupiga simu more than ten times na zisipokelewe.! Kameanza kujilizaliza ila nimeapa silegezi kamba whatever the fvck it is, mamaeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kupiga sim ten times huo Ni usumbufu ...missed call moja inatosha
Najua, ila kama ningekuelezea scenario nzima from the start ungeelewa kwa nini nilikuwa napiga mara nyingi, ila kiufupi ni kuwa nilijitahidi sana kulipambania sana hilo penzi nikijifunza kupenda ile ya kufa kuoza (mimi nina asili ya ubandidu, sibembelezagi sana so nilitaka kujifunza mapenzi ya kifilipino kwa huyu). Ila kwa kilichonikuta nime'reset settings zangu to factory setting....Mamaee
 
me nilimuacha ila badae moyo uliumia kwa sababu niliona nmefanya ukatil sana na aliamua kuhama kabsa mkoa kwa ajil yangu.uyu dem tulipendana Sana hasa yy ndo alinipenda kupindukia

ilifikia hatua akata kunywa sumu et kisa mimi.

unajua mpaka naanza kumuona wa kawaida yaan sio mzuri ni pale nilipojiingiza kwenye inshu za kubet[emoji1][emoji1].aseee ukiingia kule kila ktu kinabadilika ado akili

ila badae nilimrudia nikamtumia naul akarud bado akazidisha mahaba nikaona isiwe kesi nikamchakata heavy game nikamjaza mimba,kuja kujifungua akajifungua mapacha bahat mbaya hawakuchukua round walifarik wote wawil.


ila sikumuacha niliendelea kuchochea upendo saiv ana mimba na huduma nampa sana tu .nategemea kumuoa mwaka kesho.

ila WANAWAKE MNAONGOZA KUPENDA SANA SINA UZOEFU NA MASILEIKWINI
Mkuu mbona hii stori ni kama yangu au umenizunguka P? [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila Mimi nilimuacha akahama mkoa kwa makusudi, nikakaa nikaona hakuna kama yeye inabidi nimrudishe sasa hataki kurudi anasimamia msimamo wake kuwa nimemuacha na kesha pata gube gube lingine huko ila [emoji23][emoji23][emoji23] inabidi nicheke......

This week, anapost kuwa ni bora kuwa mwenyewe....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Saizi nahisi keshapigwa huko na wala tunda kimasihara
 
Mapenzi haya japokuwa sijawahi kubembeleza.
 
Nilifumaniwaga na manzi wangu mcha Mungu Sana, mbaya zaidi na kademu ambako hata sijui Kali nishawishi nini,..kasura kakitoto ,tako lenyewe hakana,viuno sasa Feni ikasome.

Aisee nilipigania lile penzi mpaka tone la mwisho. Nikaishia kubadilishiwa laini.

Nashukuru baada ya miaka2 nilionana naye mkoa jirani,tukaongea yakaisha kiroho Safi.

Yeye na familia yake Mimi bado akili haitaki kabisaa kuoa. Maana huyu mwenye family yake bado ananiambia milango IPO wazi .

Kama ndoa ni hivyo big No.

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..

Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
 
2018 nilimbembeleza sana Yule mwanamke aendelee kubaki huku nikiomba msamaha kwa kosa silijui lakini ndio kwanza akazidisha matukio ikabidi nikubali knock out kishingo upande japo nilienda kumtumia text Mara moja moja kwa WhatsApp lakini hazikuwahi kujibiwa, hata text yangu ya pole kwa msiba wa baba yake haikujibiwa mwisho wa siku nikafuta namba..

Sasa mwaka huu 2021 siku ya Valentine namba ngeni inapiga kuuliza nani ni yeye, anaanza blah blah sijui kanimiss, nimsamehe anaomba tuanzishe maisha mapya, kumbe wahuni washamfanya single mother halafu wametokomea kusikojulikana[emoji2]
Umeandika utafikiri wewe ndo Mimi.
 
4/2017 nlimpenda mdada flan wa kiha, nkiamini wananidham na heshima kama nlivo amin, 11/2018 bila 7bu ya msingi akanitema, aaise nlihastle sana kumbembeleza lkn akanikazia. Nkaamua kufuta namba maisha yakaendelea.

2020 mwez wa kwanza akantafuta yy mwenyew, maisha yakaanza upya, aliomba afike skan nkamruhusu, ila baada ya miezi kama minne, nkawa ninaroot ya huko kg nkampanga nfike kwao akakubali, but baada ya kufika huko mkoan akaanza vi7bu, mara oo sipo home, mara ukifika skan utasema nn, mara ooh cjajiandaa kumpeleka mtu home, nkaona ananiletea weus tuu, nkaamua kuachana nae forever yaan [emoji23].

Kwa sasa cna mpango na madent, japo nkionaga washkaj wanavoenjoy daaah wiv kama wote yaaan [emoji23] [emoji23].
 
Back
Top Bottom