GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Halafu huyu aje kuwa mzimu wa ukoo..!
Mnafikiria nini hapo..??😅
Ndo unaposikia mzimu popobawa sijui ndo hawa wakishakufa wanaanza kusumbua watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huyu aje kuwa mzimu wa ukoo..!
Mnafikiria nini hapo..??😅
Hii mizimu myengine ni mizimue tu... Halafu ndo unatakiwa uje uiombe ukipata matatizo..😂Ndo unaposikia mzimu popobawa sijui ndo hawa wakishakufa wanaanza kusumbua watu
Watu wanaojutia makosa yao wanaonaga hata aibu kuhadithia pasipo ulazima.Binadamu tuna madhambi makubwa msinihukumu!!!!!
Katika harakati za ujana kuna sehemu binadamu tunakosea, kutenda kosa sio dhambi ila kurudia kosa ndo dhambi.
Mimi najutia kulala na mke wa kaka yangu. Kaka yangu ananizidi miaka 30, ana wanawake watatu, mke wa mwisho ndo nililala nae, wote tulikuwa under 20 kipindi hicho. Siku hio kaka yangu alisafiri, tulikuwa tunaangalia movie na shemeji hadi saa nane usiku,karibia wiki nzima, tukaanzisha mazoea ambayo yalipelekea kushikana, nikashitukia shetani amenipitia nikamla. Sikurudia kosa langu, siku ya pili niliamua kuhama kabisa, ni miaka 10 sasa imepita, ila bado najutia kosa langu, ujana maji ya moto.
Umerudia tena kuandika kipindi flani ulishawahi andika mada ya hivi !! nikwamba Umesahau ama unateseka na Dhambi ya Uzinzi inayokutafuna ndani yako? Nenda ukatubu ubaki na Amani ya moyo.Binadamu tuna madhambi makubwa msinihukumu!!!!!
Katika harakati za ujana kuna sehemu binadamu tunakosea, kutenda kosa sio dhambi ila kurudia kosa ndo dhambi.
Mimi najutia kulala na mke wa kaka yangu. Kaka yangu ananizidi miaka 30, ana wanawake watatu, mke wa mwisho ndo nililala nae, wote tulikuwa under 20 kipindi hicho. Siku hio kaka yangu alisafiri, tulikuwa tunaangalia movie na shemeji hadi saa nane usiku,karibia wiki nzima, tukaanzisha mazoea ambayo yalipelekea kushikana, nikashitukia shetani amenipitia nikamla. Sikurudia kosa langu, siku ya pili niliamua kuhama kabisa, ni miaka 10 sasa imepita, ila bado najutia kosa langu, ujana maji ya moto.
😁😁😂😂Halafu huyu aje kuwa mzimu wa ukoo..!
Mnafikiria nini hapo..??😅
Mimi nipo kaka ake.. Wewe ndiye umepotea humu hatari
mkuu hivi ni kweli au umeamua kutufunga kamba tuMkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Mkuu unakosa vitamu,,,,Aisee hapana, kamwe siwez kufanya huo uchafu. Shetani anipitie mbali. Hata kumla demu wa rafiki yangu ni mwiko.
Jamani tujifunze kujiwekea limit sio kila shimo lazima uingie wakati mwingine huwa tunajitafutia laani sisi na familia zetu.
Mkuu linashindikana nn? Kwani mama mkwe sio mwanamke?mkuu hivi ni kweli au umeamua kutufunga kamba tu