do wat u think
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 318
- 240
ni jambo zuri ila gumu sana, lakini, akifanya hivyo ndo itakua toba ya kweli... maana ukikosea makusudi pia uwe tayari kwa adhabu yeyoteMkuu hiyo tabia haifai kabisa vizuri umejutia kosa na ikiwezekana mueleze kaka ako kishs umuombe msamaha ubaki na amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hapana....kamwe siwez kufanya huo uchafu...shetani anipitie mbali...hata kumla demu wa rafiki yangu ni mwiko...
Jamani tujifunze kujiwekea limit sio kila shimo lazima uingie..wakati mwingine huwa tunajitafutia laani sisi na familia zetu
Yani mwana....kwann usile hata beki 3 ....mpka ukamfunue shemeji yako...hizi laana nyingine huwa tunazitafuta wenyewe
We jamaa umezingua bana, na ukaona sifa uje utusimulie na uulizie kama kuna wengine washawahi kufanya hivyo pia, kwa taarifa yako hakuna mwingine humu alowahi kufanya hivo, ni wewe tu[emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ushamba wewe.
wabongo sijui ni ushamba ama ujinga..
Eti Laana!!! What the f*ck
wewe ni mshamba!!!
Watu wapo likizo ya Corona, tutasikia mengi!Mwaka huu mtatuambia kila kitu.
Kumbe unakubali kuwa mapambano yapo eeh?Hao maadui walishawashinda nguvu. Pambaneni na issue nyingine
Duuuh
Nashangaa ulivyomshauri huyo jamaa. Kazi kweli kweli tunakoelekea sijui tu
Hahaha huyo ni mtani wangu huwa nataniana naeNashangaa ulivyomshauri huyo jamaa. Kazi kweli kweli tunakoelekea sijui tu
Mmmmh
Soma vizuri boss amesema 2013.Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Unafeli saana jamaa kumkandia huyu jamaa, amesema huenda ili roho yake iwe na amani kidogo [emoji23][emoji23]We jamaa umezingua bana, na ukaona sifa uje utusimulie na uulizie kama kuna wengine washawahi kufanya hivyo pia, kwa taarifa yako hakuna mwingine humu alowahi kufanya hivo, ni wewe tu[emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app