Umeshawahi kumla shemeji yako?

Umeshawahi kumla shemeji yako?

Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Utakuwa una undugu na man fongo maana hanaga ushemeji
 
basi umekosea sana, huko kwenu hujawah sikia hyo habar? Mi naishi kaskizini nimeshuhudia vitu vingi ila siwezi sema kama watu wa kaskizin ni malaya kwa sababu umalaya ni tabia ya mtu na si kabila. Ngoja na mimi nikupe mfano nilisomeshwa na baba yangu mdogo lakini alinitongoza ni msukuma huyo yani anilale mi na mama yangu mdogo sasa huyo ni mzaramo? Ndo mana nakushangaa sana nyingine baba katembea na mke wa mkewe hapo utasemaje? Nakushaur utoke uzaramoni ubadil mazingira uone jamii zingine zinavyoishi na siyo kutoa hitimisho
Afadhali shujaa wa1 ! ebu funguka mwaya! lete mambo! enhee!!! Baba mdogo alianzaje?
 
Hata mimi ningekuwa mzembe hali hii ingenitokea,ila nilijiongeza ,kuna kipindi nimemaliza form 6 miaka ya 2010 hapo wazazi wote washafariki chuo nimenyimwa mkopo nikawa nipo nipo tu,ikabidi niende kwa brother angu mtoto wa baba Mkubwa nikakae mitaa ya temeke ili nibadili mazingira kidogo ya mtaani kwetu maana niliona frustrutation za kuulizwa chuo lini sijui unafanya nini sasa hivi zitanichanganya!kwanza niliongea na bro kwa simu akakubali niende ,nikafika pale nikawa very descent boy,bro alikuwa na mke na watoto wawili pia alikiwa anaishi na mdogo wake wa tumbo moja umri sawa tu na mimi hivyo tukaws tunaishi chumba kimoja na mshkaji ila jamaa alikuwa haelewani na shemeji yake kabisa,hivyo mimi nikawa kidogo nabalance mambo,naamka asubuh nasaidia kazi za,nyumbani ,napeleka madogo shule,nawafata jioni ,napitia maftari yao ya shule yaani walinipenda kiukweli sabbu bro na mke wake hawakuwa na elimu kivile walikuwa wafanyabiashara tu,hivyo mimi ndo nilikuwa nawasaidia watoto homework etc,kwa aina ya yale maisha nikatokea kuelewana na shem ila yeye akawa anataka kuvuka mipaka na mazoea,mara siku nyingine akiona bro hayupo aniite chumbani nimsaidie kuweka vzr kitanda huku kavaa khanga moja tu na aidondoshe maksudi ila najifanya sijaona kitu,siku nyingine akiona tumebaki wawili tu anataka kuangalia picha za kikubwa,nikaona hapa utakuwa msala nitaharibu mahusiano na ndugu yangu nikatafuta sehem walau niwe nafhndisha tuition kwa udi na uvumba ili niwe nashinda hukooo,nategea muda wa kurudi watu wote wamerudi home,nikawa siku nyingine nikiona bro amesafiri nalala kwa mshkaji wangu mahali hata siku 2 ili kupoteza yale mazingira ya mazoea kupitiliza,mpaka nikapata kijibarua mahali cha kunipa mia 2 ya uhakika nikapanga chumba fasta nikahama,ila inshort tu niliandaa mazingira ya kupoteza yale mazoea ya kupitiliza naamini kilikuwa kama kiupepo flani kibaya hivi kilitaka kumpitia kwani baada ya pale alirudi normal tu tukawa tunapiga stori kawaida namimi sikutaka kuiongelea mahala popote zile situation ,nilikabiliana nazo mwenyewe kiume!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aidha hii ni moja katika ya zile hadithi za kitoto na fantasy zao wanazoleta hapa au kama ni kweli ilitokea wewe ni mtu wa ajabu sana.

Nasema wewe ni mtu wa ajabu sana kwa sababu ya kutompenda kaka yako na kumvunjia heshima kupita kiasi. Ingelikuwa imetokea mara moja tu angalau tungelisema kuwa mashetani yaliwashinda, lakini kuendelea kwa miezi mitatu huo ni ukatili wa hali ya juu. Tena hata ulipoondoka hukuondoka kwa sababu ulikuwa unahisi vibaya unayomfanyia kaka yako bali umeondoka kwa sababu ulihisi utakuja fumaniwa tu. Huo uni ushenzi wa hali ya juu.

Halafu unakuja kuleta mada hii hapa, kuonyesha kuwa you dont feel guilty at all, anfact you are so proud of yourself. I hope and pray kuwa kaka yako nae pia ni member hapa na asome na kujua uliyomfanyia. Inawezekana kuwa umekwenda chuo kikuu lakini hukuelimika hata kidogo maana umeweka clues tele hapa za kaka yako kujua kuwa ni wewe ndie uliekuwa ukimla mke wake.

clue ni kama zifuatazo
1. mwanzoi mwa mwaka 2013 ulikuwa unaishi na kaka yako
2. Kipindi hicho ulikuwa ndio umemaliza masomo na huna kazi,unatafuta kazi
3. Kaka yako alikuwa safarini tarehe 8/02/2013.
4 Kaka yako kipindi hicho alikuwa hana house girl.
5 Mkewe ni mtu wa kupenda films
6 hafla tu bila kupata kazi mwezi wa May (umesema mlifanya uchafu huu kwa miezi mitatu) uliamua kurudi nyumbani.

Now ladies and gentleman ni Kaka wangapi wanaweza kuangali point hizo 6 za haraka haraka na kutojua kuwa ni yeye aliyeendelewa kinyume na mdogo wake?

Kama mwanzoni mwanzoni mwa mwaka wa 2013 ulikuwa ukiishi na ndugu yako (alokuwa ndio kwanza kamaliza chuo na anatafuta kazi) pamoja na mke wako katika mji fulani na ulikuwa ukisafiri sana na kumuacha mkeo na mdogo wako nyumbani, lakini hafla katika mwezi wa May aliamua kuondoka na kurudi nyumbani basi jua sababu ya yeye kuondoka ni kwa sababu alikuwa akimla mkeo. Mkeo ni anapenda kuangalia films na kipindi cha mwaka 2013 ulikuwa huna house girl basi jua tu huna ndugu wa kweli.
Mtu kajilia shemeji yake kuumia unaumia ww mkuu?

Punguza shobo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi ningekuwa mzembe hali hii ingenitokea,ila nilijiongeza ,kuna kipindi nimemaliza form 6 miaka ya 2010 hapo wazazi wote washafariki chuo nimenyimwa mkopo nikawa nipo nipo tu,ikabidi niende kwa brother angu mtoto wa baba Mkubwa nikakae mitaa ya temeke ili nibadili mazingira kidogo ya mtaani kwetu maana niliona frustrutation za kuulizwa chuo lini sijui unafanya nini sasa hivi zitanichanganya!kwanza niliongea na bro kwa simu akakubali niende ,nikafika pale nikawa very descent boy,bro alikuwa na mke na watoto wawili pia alikiwa anaishi na mdogo wake wa tumbo moja umri sawa tu na mimi hivyo tukaws tunaishi chumba kimoja na mshkaji ila jamaa alikuwa haelewani na shemeji yake kabisa,hivyo mimi nikawa kidogo nabalance mambo,naamka asubuh nasaidia kazi za,nyumbani ,napeleka madogo shule,nawafata jioni ,napitia maftari yao ya shule yaani walinipenda kiukweli sabbu bro na mke wake hawakuwa na elimu kivile walikuwa wafanyabiashara tu,hivyo mimi ndo nilikuwa nawasaidia watoto homework etc,kwa aina ya yale maisha nikatokea kuelewana na shem ila yeye akawa anataka kuvuka mipaka na mazoea,mara siku nyingine akiona bro hayupo aniite chumbani nimsaidie kuweka vzr kitanda huku kavaa khanga moja tu na aidondoshe maksudi ila najifanya sijaona kitu,siku nyingine akiona tumebaki wawili tu anataka kuangalia picha za kikubwa,nikaona hapa utakuwa msala nitaharibu mahusiano na ndugu yangu nikatafuta sehem walau niwe nafhndisha tuition kwa udi na uvumba ili niwe nashinda hukooo,nategea muda wa kurudi watu wote wamerudi home,nikawa siku nyingine nikiona bro amesafiri nalala kwa mshkaji wangu mahali hata siku 2 ili kupoteza yale mazingira ya mazoea kupitiliza,mpaka nikapata kijibarua mahali cha kunipa mia 2 ya uhakika nikapanga chumba fasta nikahama,ila inshort tu niliandaa mazingira ya kupoteza yale mazoea ya kupitiliza naamini kilikuwa kama kiupepo flani kibaya hivi kilitaka kumpitia kwani baada ya pale alirudi normal tu tukawa tunapiga stori kawaida namimi sikutaka kuiongelea mahala popote zile situation ,nilikabiliana nazo mwenyewe kiume!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa bongo utakuwa umebaki wewe tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi ningekuwa mzembe hali hii ingenitokea,ila nilijiongeza ,kuna kipindi nimemaliza form 6 miaka ya 2010 hapo wazazi wote washafariki chuo nimenyimwa mkopo nikawa nipo nipo tu,ikabidi niende kwa brother angu mtoto wa baba Mkubwa nikakae mitaa ya temeke ili nibadili mazingira kidogo ya mtaani kwetu maana niliona frustrutation za kuulizwa chuo lini sijui unafanya nini sasa hivi zitanichanganya!kwanza niliongea na bro kwa simu akakubali niende ,nikafika pale nikawa very descent boy,bro alikuwa na mke na watoto wawili pia alikiwa anaishi na mdogo wake wa tumbo moja umri sawa tu na mimi hivyo tukaws tunaishi chumba kimoja na mshkaji ila jamaa alikuwa haelewani na shemeji yake kabisa,hivyo mimi nikawa kidogo nabalance mambo,naamka asubuh nasaidia kazi za,nyumbani ,napeleka madogo shule,nawafata jioni ,napitia maftari yao ya shule yaani walinipenda kiukweli sabbu bro na mke wake hawakuwa na elimu kivile walikuwa wafanyabiashara tu,hivyo mimi ndo nilikuwa nawasaidia watoto homework etc,kwa aina ya yale maisha nikatokea kuelewana na shem ila yeye akawa anataka kuvuka mipaka na mazoea,mara siku nyingine akiona bro hayupo aniite chumbani nimsaidie kuweka vzr kitanda huku kavaa khanga moja tu na aidondoshe maksudi ila najifanya sijaona kitu,siku nyingine akiona tumebaki wawili tu anataka kuangalia picha za kikubwa,nikaona hapa utakuwa msala nitaharibu mahusiano na ndugu yangu nikatafuta sehem walau niwe nafhndisha tuition kwa udi na uvumba ili niwe nashinda hukooo,nategea muda wa kurudi watu wote wamerudi home,nikawa siku nyingine nikiona bro amesafiri nalala kwa mshkaji wangu mahali hata siku 2 ili kupoteza yale mazingira ya mazoea kupitiliza,mpaka nikapata kijibarua mahali cha kunipa mia 2 ya uhakika nikapanga chumba fasta nikahama,ila inshort tu niliandaa mazingira ya kupoteza yale mazoea ya kupitiliza naamini kilikuwa kama kiupepo flani kibaya hivi kilitaka kumpitia kwani baada ya pale alirudi normal tu tukawa tunapiga stori kawaida namimi sikutaka kuiongelea mahala popote zile situation ,nilikabiliana nazo mwenyewe kiume!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akubariki mkuu, kwa kumheshimu kaka yako pamoja na kumtunzia siri shemeji wako.
 
Nilisahau kukwambia kwamba huu Mwaka wa tatu sasa, mi na wife tinagonga vidonge...ooh! She killed you!.....HATIA by Dizasta
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu ila hiyo sio sababu ya kuwatumia tutakavyo. Mimi kuna kipindi mpama bro alikuwa anatuletea vinywaji tunakunywa (sio pombe japo wengi walipenda) tulikuwa tunafungulia muziki mpaka saa 7 na tunabambiana ileile (wale wa vijijini wanaelewa muziki unachezwaje). Lakini kwa kuwa bro alikuwa ananiamini aikuwahi hata kumtamkia shemeji yangu kuwa namtaka (huwezi kusema unampenda) na mpaka nahama tulikuwa tunaheshimiana. Kama ningekuwa na akili za mtoa mada nadhani ningeunga hoja.
 
*kaa kimya ,kaa kimya ngoja nibonge,we n mdogo wangu toka nitoke,inaniumiza sikukwambia tangu mwanzo kwamba, huu mwaka wa 3 mi na wife tunagonga vidonge,oooohh men !! she killed you,that devil killed you,labda nmekuua mwenyewe,labda ningekwambia kuwa,sisi ni waathirikia ila nkasita.yes I'm still fool.

!! HATIA !!
 
😃😃😃 hii
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
chai kama sio uji
 
Back
Top Bottom