Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Binadamu tupo tofauti... binafsi siwezi kumpenda Mtu ambae najua ana mtu na huyo mtu namjua.Itakua ujampenda ww kuna mtu anasubir mpaka ndoa yake ivunjike Bado anamsubir amoendae ww kisa amekataa unasepa kutana na divorcee tayar kashapata wakumliwaza😹
MakubwaBinadamu tupo tofauti... binafsi siwezi kumpenda Mtu ambae najua ana mtu na huyo mtu namjua.
Hua nampenda mtu akiwa single ila nikishajua ana mahusiano mengine a mtu wake nimju..
Hua napata kinyaa tu mzuka nae nakua sina tena
Wanock nock_ mandojo & domokaya ft lady jaydeeUshawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Umepoteza muda sana 😅“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana
Watu wengi hasa wasiokuwa na ajira wameshindwa kutoka ndani na kujaribu kufanya baadhi ya shughuli za kujiingizia kipato kwa kuwaza kuwa “watamuonaje” Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira. Vitu hivyo ni kama...www.jamiiforums.com
Watanionaje 👆🏻 kumbe ulikua unajifanyia canceling
Wakolinto 2:6 mpaka 9Ushawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Wacha bwana🤣🤣🤣Tufunge na kusali maana itafika mahali utadata na ID ya kike mwisho wa siku unaiota.....ndotoni unakua unaiona shape sura hamna maana hujawahi muona
Shindikanaaaaa!Tuendelee kukemea hilo pepo 🤣
Kua uyaone mdogo wangu!Wacha bwana🤣🤣🤣
Mambo vip shindi...Shindikanaaaaa!
Nilimpenda mmoja alikuwa mke wa mkubwa mmoja pale. Kwenye lile eneo ila nilipomtokea ikawa freshUshawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽