Umeshawahi kumpenda mtu kisirisiri halafu hujawahi kumwambia na unafurahi akifanikiwa?

Mpaka leo sijafanikiwa kujua jinsia yako Coca😂
 
Ushawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).

NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Huyo tokea mwanzo wa raisi kuwepo tanzania na leo alishwai kupenda watu
 
Hadi wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…