Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,214
the job was too demanding halafu sikuwa sawa piaOh pole
Was it a Company Obstacle Course? Or Personal?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the job was too demanding halafu sikuwa sawa piaOh pole
Was it a Company Obstacle Course? Or Personal?
its a great platform , nimekutana watu mule wa maana .Ahaa oky. Ahsante kwa mrejesho mzuri.
okay all the best , just connect na wengine .Nimeanza kuji brand nina muda kiasi sasa. Nataka nione kama naweza kutoboa kupitia huko.
I know watu wa kule wako serious.
Mm nilifatwq inbox na Manager akanipa mawasiliano ya Hr wake nikafanyiwa interview through the phone..Cha ajabu hadi leo sijaitwa😔Habari wakuu, nauliza kama kuna mtu yeyote ambae amewahi kutumia platform ya Linkedin kupata kazi.
Nauliza kwa sababu ni app ambayo ndiyo hasa inabeba jukumu la kutangaza na kutafutia kazi.
Watu wana jifadavua elimu zao kwa uwazi kwa lengo la kupata au kutafuta kazi.
So naomba kufahamu kama kuna shahidi wa moja kwa moja ambae amefanikiwa either kwa kutuma maombi au kwa kufuatwa na kampuni kutokana na kuona ana sifa wanazotaka.
Ahsante.
Siku hizi watu wameigeuza facebook mara wanauza karanga mara wanapost post za vichekeshoNimeanza kuji brand nina muda kiasi sasa. Nataka nione kama naweza kutoboa kupitia huko.
I know watu wa kule wako serious.
Hapana sometimes mm nakutana na post za ajabu. Mimi cycle yangu ni ya waty ambao naona ntafaidika nao sija conncet na marafikiHiyo inategemeana na selection ya watu unaotaka mkuu.
Ukiona hivyo simple unamdisconnect aiseeSiku hizi watu wameigeuza facebook mara wanauza karanga mara wanapost post za vichekesho
Sio sana ila zipo zipo post za hivyo nying kutoka kwa wahindiUkiona hivyo simple unamdisconnect aisee
Swaumu ni kali sana ..lakin kwa hili nakuomban sana niruhusu DM nifike unipe muongo wa linkedin ..nipo huko lakin naona kama sipawez ila kwa namna mnavotoa ushuhuda naona kama kina kitu bado sijakifaham..Binafsi najiuliza why LinkedIn nilichelewa kuifuatilia na kuwa nayo seriously,binafsi labda nilikuwa na kazi sehemu,kiufupi ni nzuri,na kampuni ikiwa interested na profile yako basi wanakufuata,kingine inasaidia kupata job alert kwa sehemu ulizo follow, mkuu ningependa UniDM namba yako tufahamiane muanzisha mada,