Na hivi kwa sasa kuna ChatGpt AI ni mselelekoNilitafutwa na client kazi ya transcription (Google Loft tool) lugha Chichewa na Kilingala.Ilikua ni kazi ya pesa ndefu ila Wamalawi Waka iangusha online gig kwao wanaona ni utapeli.Nikasubcontract kazi Kwa Mkenya at least nikaingiza vidola kadhaa.Client bado nipo naye na kuna kazi za translation nazipata.Kikubwa tengeneza profile nzuri tu.Adios
Mbona wengi mnapiga chiniMimi nilifatwa na Musungu kwaajili ya kazi fulani vigezo vikanipiga chini
Baadae nikapata kazi taasisi fulani...now nimepiga chini.
Nilirudi shule mkuu kuongeza elimu.Mbona wengi mnapiga chini
Mm naona tunafeli kitu kimoja
Tunakosa premium linkedin app
Yea, nipo hapaโบ๏ธNa hivi kwa sasa kuna ChatGpt AI ni mseleleko
Huwa unapost vitu huko??Nshapata kazi nyingi kupitia linkedin na nawafahamu watu wengi waliopata kazi kupitia linkedin tena kwa kufuatwa.
Hapo ndo mtihan kakaHela yako tu
Unawaheshimisha watu kwenye network vibaya mnoYea, nipo hapa[emoji3526]
Nakubali, tuchangamkie fursaUnawaheshimisha watu kwenye network vibaya mno
Search google kama ilivyoandikwa then utaona link yao utafungua na kusign upHii ni ipi mkuu (ChatGpt) najiungaje ?
Thread 'Ifahamu ChatGPT' Ifahamu ChatGPTHii ni ipi mkuu (ChatGpt) najiungaje ?
Ulijua je kuwa kila kitu kilikuwa sawa?Nilitafutwa na mwajiri nikaudhuria interview, kila kitu kilikuwa sawa ingawa mpka leo hajawai Namibia chochote nmejaribu kumcheki WhatsApp anabluetick tu
Ila ukiwa smart **** interview unajua kabisa hapa nimepuyanga.Una uhakika mambo yalienda sawa mkuu. Maana hawa jamaa mnamaliza interview ana cheko kama lote kumbe ana majibu hajakuelewa.
Hapana sipost chochote ila ni vizuri sana ukapost kitu inakupa mileage.Huwa unapost vitu huko??
Ama una andika qualifications zako as detailed as possible, ur strengths, experience,.. katika kila section ambayo unaweza fill, then fursa zinakuja,..
Em tupe madini
1. Kitu gani kilisababisha ukawa approached at first,,? ni kupitia posts ama just the profile bila posts, ama ni demand ya field uliyopo
2. Nini kilileta hizo kazi nyingi nyingine, ulikuwa unapost kazi nyingine ulizopata before!?