Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Chai hii,ng'ombe mia unazijua wewe?
 
Mwanaume ujasiri na nguvu za kumwambia mwanamke humpendi mnautoa wapi?? 🀣🀣🀣
Nguvu tunazo ila tunaogopa kuumisa hisia zenu, ndo maana tunawakula tu ili mjisikie vizuri kwa muda, ushauri: mnatakiwa kudevelop guts kukubali kukataliwa
 
Chai
 
Tatizo una kuta anae kupenda nae haumtaki na unae mpenda nae hakutaki ,na yeye huyu unae mpenda kuna mahali hatakiwi tena ,apo ndipo tunaposhindwa kuimba wimbo mmoja.
Aloo usinikumbushe, nakumbuka miaka iyo nilitokea kupendwa na mwanamke wa kijini kwa bahati mbaya, Mimi sikumpenda kabisa alinibembeleza kwa kunipa ahadi kedekede kama kunipa utajiri n.k lakini nikamchomolea.

Uwezi kuamini kwa sasa nimefuria najikuta namkumbuka sana yule Binti nataman kama wakati ungerudi nyuma nikubali kuwa kuwa nae lakini haiwezekani, nahisi saa hizi jina langu mngekuwa mnaliimba kama mnavyoliimba jina la Mo au bhakresa.
 
Noma sana mkuu , pia uchaguzi ulifanya ni sahihi inawezekana ungekua nae ungekuta ulisha kufa kitambo pia.
 
Y
You cut her on knees
 
Daah hizi mambo huwa ina pain sana, mwenyezi Mungu atusamehe tu. Mdada wa watu sijui nilimpa maumivu gani lkn huwa kuna muda binafsi roho huniuma basi tu.

Mabinti wa kanda ya ziwa akikupenda asee yupo radhi kufanya lolote bila kujali hata mzazi au wazazi wake. Huyu binti alinipenda sana wakuu, niishie tu hapa nisitaje hata jina lake maana anaweza kuwa anajua huu mtandao kwa sasa. πŸ₯²
 
Sijui niite bhati ama mkosi, mara nyingi huwa napendwa na wadada ambao siwakubali. yaani kila anavyojiweka karibu ndo unazidi kukereka...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mbona ghaflaa sanaaa?
 
Mabwakuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tumerudiana na shem wako
Mangi ninaye na natamba naye!!
Wee huogopi??πŸ€Έβ€β™€οΈ

Manyaku nyaku yamedoda yanaona aibu
Wanamaliza mizungu, wanamaliza mikao, wanamaliza utundu.!!
Hapa kwangu hapatoki hata wampe mkuu 🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumerudiana na shem wako
Mangi ninaye na natamba naye!!
Manyaku nyaku yamedoda yanaona aibu
Wanamaliza mizungu, wanamaliza mikao, wanamaliza utundu.!!
Hapa kwangu hapatoki hata wampe mkuu [emoji1787]
Kelele 1 kwa udugu ake, weuwee
Kelele 2 kwa udugu ake, weuwee, weuweee
Kelele 3 kwa udugu ake, weuwee, weuwee, Weuweeeeeeeeee.

Watu na Mangi wao mjinii, afu sio shida zao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…