Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Acheni kutesa wenzenu bhn upendo upewe thamani yake endapo kuna mtu atakuonesha huo upendo msijisifie kwa mambo ya kishenzi sisi sote ni wapitaji tu na haya mambo yanapita tu kama kweli wewe ni mjanja basi uishi milele usife umalize hata karne moja na nusu hapo utakuwa ni mjanja sababu wote ulio watesa watakuwa wamekufa ila kama na wewe upo sawa na wao tena huenda utatangulia utawaacha hao unao watesa saizi acheni ujinga wala hao wanao hangaika na nyie sio wapuuzi
Hehehe mkuu vip mbona makasiriko mengi we elewa tu this life isn't fair and isn't easy to get what you want in this world
 
Alinipenda kupitia stori kutoka kwa jamaa yangu

Jamaa akaniambia afu akanipa namba, sikumuelewa kivile ila alikuwa mrembo vyakutosha, tukawa tunadate online tu hata hatujawahi kuonana😅

Baba yake mjeda akamnyang'anya simu

Huyu ndo alikuwa demu wangu wa kwanza aliitwa Glady.
Ww dogo hadi ww? Duuh dunia simama

Cc Gily Gru njoo umchukue mtoto wako huku 🤣
 
Dah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣

Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
Acha zako bana

Tunachambua tunatoa mchanga kitumbua kinamegwa ewaaaa
 
Mimi ndio maana sihangaiki kupenda mtoto wa mtu, yani wewe uko serious unampenda kumbe mwenzio anakuona lofa na fala tu, hakuna vitu sipendi kama kuchukuliwa poa na kufanywa mjinga kwa kutenda wema
Ila paipu unapigwa kama kawa
 
Kuna wimbo mmoja unaimba

Cause you only need the light when it's burning low
Only miss the sun when it starts to snow
Only know you love her when you let her go
Only know you've been high when you're feeling low
Only hate the road when you're missing home
Only know you love her when you let her go
And you let her go


Sijui kaimba Nani....

ephen_ nisaidie Kama unaujua
Mzee kumbe unajua mashairi ya mahaba
Kaimba Passenger
 
Hata mimi mtu akiniambia ananipenda huwa najiuliza amenipendea nini, kwahiyo huwa nahisi kama kila anayeniambia ananipenda ananidanganya tu, ndio sababu sitaki kuhangaika na mtoto wa mtu nisije nikaingia mzima kumbe mtu alikuwa anataka kupoteza zake muda tu
Kwahiyo Jadda upo single?
 
Dah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣

Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
🤣🤣🤣🤣
 
wanaume nyie

hii inamtokea mke mwenzangu yan mwanamke wa shemeji yangu, amebeba mimba mwanaume anasema itolewe, mimi nikamshinikiza na vifungu kibao vya dini kuua dam isio nahatia ni dhambi akalea mimba, mwanaume akikuta king'amuzi hakijalipiwa anawaka kwa nn, mbaya zaidi mwanaume hajawah kumnunulia hata chupi kama zawadi hajui hata anavaasize gani, mtoto amefia tumboni anamdanganya yupo mkoani kumbe yuko mkoa huohuo siku aliokuja kunitibua ni hua namwambiaga ukweli huyo mwanamke kwamba hapo sioni mapenzi zinduka wewe akishakojozwa na bwana ake anamwambia yote nikaona hu usenge utakuja kunifitinisha na ukoo wa mama mkwe nikamkatia line mazima
 
Back
Top Bottom