Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa duniani tujitahidi tusiwe weupeKwanza ni mweupe pee afu simuelewi kabisaaa.
Mwanamke wangu awezi kuwa mweupeHapa duniani tujitahidi tusiwe weupe
Amehlo au 🤣Eti kuna kibonge mmoja, mweusi, ananipenda eeh.. amenidharau sana.
Hehehe mkuu vip mbona makasiriko mengi we elewa tu this life isn't fair and isn't easy to get what you want in this worldAcheni kutesa wenzenu bhn upendo upewe thamani yake endapo kuna mtu atakuonesha huo upendo msijisifie kwa mambo ya kishenzi sisi sote ni wapitaji tu na haya mambo yanapita tu kama kweli wewe ni mjanja basi uishi milele usife umalize hata karne moja na nusu hapo utakuwa ni mjanja sababu wote ulio watesa watakuwa wamekufa ila kama na wewe upo sawa na wao tena huenda utatangulia utawaacha hao unao watesa saizi acheni ujinga wala hao wanao hangaika na nyie sio wapuuzi
Ww dogo hadi ww? Duuh dunia simamaAlinipenda kupitia stori kutoka kwa jamaa yangu
Jamaa akaniambia afu akanipa namba, sikumuelewa kivile ila alikuwa mrembo vyakutosha, tukawa tunadate online tu hata hatujawahi kuonana😅
Baba yake mjeda akamnyang'anya simu
Huyu ndo alikuwa demu wangu wa kwanza aliitwa Glady.
Acha zako banaDah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣
Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
Una date mashangazi wanene, unaona haya kutusimulia.Sijawahi kupendwa na mwanamke yeyote yule apart from wazazi wangu tu 😊
Ila paipu unapigwa kama kawaMimi ndio maana sihangaiki kupenda mtoto wa mtu, yani wewe uko serious unampenda kumbe mwenzio anakuona lofa na fala tu, hakuna vitu sipendi kama kuchukuliwa poa na kufanywa mjinga kwa kutenda wema
Mzee kumbe unajua mashairi ya mahabaKuna wimbo mmoja unaimba
Cause you only need the light when it's burning low
Only miss the sun when it starts to snow
Only know you love her when you let her go
Only know you've been high when you're feeling low
Only hate the road when you're missing home
Only know you love her when you let her go
And you let her go
Sijui kaimba Nani....
ephen_ nisaidie Kama unaujua
Binafsi huwa nikipendwa nagopa kukataa huwa naona huruma , huwa naacha mpaka nimfume ata na ka msg kadgo ndio inakua gia .
Nimechangamsha genge mlipoa halafu hakuna id ya kike hata 1 iliyotoa ushuhuda mshamba_hachekwiNan huyu anachezea dodo?
Kuna watu Kama wamerogwa
Tupe story sasa! Alivyokupenda ikawaje?Thanks
Huu wimbo sitausahau....
Maana binti WA watu sijui alinipendea nn
Kwahiyo Jadda upo single?Hata mimi mtu akiniambia ananipenda huwa najiuliza amenipendea nini, kwahiyo huwa nahisi kama kila anayeniambia ananipenda ananidanganya tu, ndio sababu sitaki kuhangaika na mtoto wa mtu nisije nikaingia mzima kumbe mtu alikuwa anataka kupoteza zake muda tu
🤣🤣🤣🤣Dah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣
Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
We Jiheshimu sina shangazi ninaye date naye ila ningempendelea Nourhan maana ana pesa za kunihonga 😘😍 na ni mzuri shombe shombe wangu 😂😙Una date mashangazi wanene, unaona haya kutusimulia.