Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Ukatili wangu ni hupi mkuu?Wewe sasa ni katili kwahili wala sio mjanja hata kidogo 🐈
Sikumpa kitu chochote bali nilikuwa naye karibu kila alipohitaji niwe karibu naye ila sikuwa nimemkubalia wala kumkatalia ombi lake.Ulimpa nn???
Kindly usimtendeee hivyo
YeahKwahiyo Jadda upo single?
Nipo mkuu. Vipi lakini mzima??Upogo
Ukatili wangu ni hupi mkuu?
Niweke wazi nijirekebishe.
Au kutokujihusisha ktk mapenzi na mwanafunzi?
ikuwahi kumuomba hela mkuu!Unajisifia kula hela ya mtu unampiga block afu unakula tena unampiga block kwahiyo huu ndio ubinadamu??? Kama humtaki kuna haja gani ya kumfanyia hayo yote
Mzima. Sijui weweNipo mkuu. Vipi lakini mzima??
Asante saaana.Mzee kumbe unajua mashairi ya mahaba
Kaimba Passenger
Nilimktaaa Kwa sababu yaan waliniambia watoto WA chuo Wana ukimwi wote.Tupe story sasa! Alivyokupenda ikawaje?
Usiseme ukamkataa nitakuona mzembee
Kumbe unaogopa ngoma🤸Nilimktaaa Kwa sababu yaan waliniambia watoto WA chuo Wana ukimwi wote.
Kimsingi hii kauli ilinikosesha vyombo vzr vya chuo
Huyu niliporudi kijjn nilikuta wamesha nilipia mahari yaan inshort wamenilazimisha. Sina Jinsi.Kumbe unaogopa ngoma🤸
Sasa mama angu ulimpata wapi
Sema ukweli nyoko wewe, haukuliwa kweli? [emoji848]Niliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
Ila ndo mshazeeka wote tenaHuyu niliporudi kijjn nilikuta wamesha nilipia mahari yaan inshort wamenilazimisha. Sina Jinsi.
Yaan ni muda muafaka kusahihisha walipo niweka.Ila ndo mshazeeka wote tena
Tapeli wa mapenzi😂Yaan ni muda muafaka kusahihisha walipo niweka.
Sometimes kutompenda mtu ni kosa kwa kutoheshimu zawadi ya kukupenda. Kumbuka mtu hatokei tu kukupenda bila sababu, what if MUNGU anajibu maombi ya nyakati yako ambayo inakuja mbeleni? [emoji848]Kutokumpenda mtu siyo kosa, kosa ni kumdanganya kuwa unampenda halafu unakuja kumuacha, bora umuambie mapema msipotezeane muda
Ndio sijawahi kuliwa we falaSema ukweli nyoko wewe, haukuliwa kweli? [emoji848]