Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Hata mimi kuna demu namsubiri hapa anipende nianze kumzingua, naona ameshaonyesha dalili zote za kunielewa
 
Upendo huwa unaota, kuchipua na kustawi sehemu yenye subira, utulivu, ukweli, uaminifu, kusikiliza, kujali, kuthamini, kujitoa, na kujituma.

Ukiona mtu amekufuata na anakuonyesha upendo jaribu kupitia hizi elements kwenye tabia zako. Ukiona hakuna hata moja jua wewe ndie unazingua hapo.

Na kama zitakuwapo then ni swala la muda utashangaa na wewe umeanza kumpenda wakati mwanzo haukuwa hata na wazo.

Given that muhusika ni msafi wa mwili na tabia, ana maisha, anajitambua, na ni raia mwema.
Ndio hivyo wenyewe wanadai mapenzi hayalazimishwi, wewe hujawahi kuona mtu anapata mwenza anayemjali ila yeye hampendi anahangaika na mtu ambaye wala hamjali ila unakuta yeye ndio kafa kaoza, na hiyo huwa haichagua jinsia wote wanaume na wanawake wanawafanya huo ukiritimba bila kujali hisia za wenzao
 
Dah!! Mmenishtua!!
Em ngoja nianze kuchunguza km yule jamaa ananipenda au mimi ndo nimemganda?? 🤣🤣🤣

Nyie wanaume acheni mambo yenu ya kiwaki, semeni mkionja vitumbua mkikuta vina mchanga mnatafuta sababu hamna lolote hapo 🤣
Hiyo double standard haitakiwi aisee, yaani mwanamke kumwambia mwanaume hampendi au hamtaki mnachukulia kawaida tu, ila nyie mkiambiwa hampendwi mnaona kama matusi vile
 
Daah yani umegusa jambo linalotesa maisha yangu.

Nilitaka kuoa kipindi fulani nilipotangaza uchumba ndo kama nilikua nimetangaza vita kwa wadada, wadada walinichukia wallah, wengine wakanifanyia vitimbi maneno yakawafikia wazaz wake uchumba ukavunjwa pasina kua na kosa, dah.

nishawahi kufukuzwa kazi kisa kumkataa mke wa mtu tena mi ndo nilikua juu yake pale offin, alining’ang’ania nikaona uyu ananizoea sana, nikamchana waziwazi kua asinizoee kumbe ye akaenda kuchange story kwa mme wake et mi ndo namsumbua kila siku kazini namtishia kumtoa pale, wakanifanyia game kwa boss yani nilishtukizwa tu nasimamishwa kazi et nina dalili za corona kumbe ndo ilikua mazima barua zikanifata.

Yan tatizo nakua na moyo wa huruma kwa wengi wao, wao hujua labda ndo upendo,

kama uyu mmoja single mama nilitikea kumpenda mtoto wake wakike sana, sikumoja nikamchukua mwanae nikaenda nae shopping nikamnunulia vinguo na midoli sababu nilikua nampenda mno uyo mtoto, kasheshe ikaja kwa mama mtu, ushikaji wetu ye akauchukulia kua nampenda nashidwa kusema, siku moja akanisogelea sana nikashangaa mtu analeta lips nikaona nikipindisha uso hapa atajisikia vibaya, nikamsupport tuu ili aone kua naweza, yani akalegea kabisa masikini, ikabidi nijifanye namimi nimedata NIKAJIFANYA NIMESIMAMISHA ASIJUE HISIA NILIZIVUTA KWA CRUSH WANGU…! Bas akanianglia akawa ananionea huruma, nikamdanganya kua nawish nilale ila kuna mtoto sio sawa tufanye twende kwangu kumbe nilikua namkwepa najua hawez kutoka kwa ule mda, akanipromise kesho atakuja asijue ata sihitaji aje.

Nimetoka pale njiani najilaani tu, full kuatema mate kama mwehu, nimefika home anapiga simu kama ananidai nikawa namkwepa kiaina, inshort wengi hua naishia kuwatafutia makosa ili niwaache wakiwa hawaoni kua nilikua siwapendi, waone ni walinikosea ndo maana nikawaacha.
 
mimi ni me!
Sijawai kupendwa huwa napenda tu!
Mwanamke afanye kazi yake ya kuniheshimu inatosha!
Nami nifanye yangu ya kumpenda!
Kwa maana ili uwe mwanamke lazma ukuwe na upendo tayari, kinyume chake unakuwa ni kiumbe kingine! Mf kahaba!
Yaan, mwanamke ndo upendo wenyewe!
huwezi kusema upendo unatakiwa kuwa na upendo!!!!
 
You have to show love to that woman, namaanisha mpende huyo mwanamke, muonyeshe upendo huyo mama acha utani mkuu. Sikupi sababu vile umetaja yote ila mpende huyo mama. Ukikosea ukamuacha na kwenda kwa "love of my life" utashangaa dunia itakavyokunyoosha. Una mke mzee baba!
Thanks , najitahidi kumpenda.
You have to show love to that woman, namaanisha mpende huyo mwanamke, muonyeshe upendo huyo mama acha utani mkuu. Sikupi sababu vile umetaja yote ila mpende huyo mama. Ukikosea ukamuacha na kwenda kwa "love of my life" utashangaa dunia itakavyokunyoosha. Una mke mzee baba!
 
Ilishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal.

Lengo langu niwafuate niombe no ya yule pisi ,ili kutomfanya yule mwingne asijiskie vibaya nikajifanya kuomba no zao wote, mbaya zaidi asiye kwenye lengo ndio akajitia kiherehere cha kunipa no ,yule pisi yeye kimya tu , nikaichukua kishingo upande ,,nikajua kwa sababu ni marafiki naweza pata ukaribu na huyo, ila lengo nisijempoteza yule pisi kupitia mwenzake.

Kufupisha tu ni kwamba yule dada wa kimasai aliniganda hatari zaidi ya mwaka , ili kutomfanya asijisikiie vibaya sikudhubutu kumwambia ukweli , nikawa nawasiliana nae kishingo upande ,alipo kuja kuharibu zaidi alinitambulisha kwa yule pisi kama mimi ni mtu wake, na ile pisi ikawa inaniita shem.

Hali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .

Kilichonifanya nikaingia mitini kabisa ni pale binti alipo fikia hatua ya kutaka kunitunuku zawadi ya bikra yake na akaniambia hiyo kwao ni zawadi kubwa kabisa ya kimila .

MpKa Leo sikuwahi kukutana na pisi kali kama yule rafiki wabinti wa kimasai , nilikuja kupata fununu karudi kwao Rwanda baada ya kumaliza masomo yao pale KCMC .
Ndugu yangu acha tu nikwambie ukweli ulifanya ufala
 
Hata mimi mtu akiniambia ananipenda huwa najiuliza amenipendea nini, kwahiyo huwa nahisi kama kila anayeniambia ananipenda ananidanganya tu, ndio sababu sitaki kuhangaika na mtoto wa mtu nisije nikaingia mzima kumbe mtu alikuwa anataka kupoteza zake muda tu
Nje ya mada kidogo..... Msimamo wako ni upi juu ya mapenzi ya jinsia moja ?
 
Daah yani umegusa jambo linalotesa maisha yangu.

Nilitaka kuoa kipindi fulani nilipotangaza uchumba ndo kama nilikua nimetangaza vita kwa wadada, wadada walinichukia wallah, wengine wakanifanyia vitimbi maneno yakawafikia wazaz wake uchumba ukavunjwa pasina kua na kosa, dah.

nishawahi kufukuzwa kazi kisa kumkataa mke wa mtu tena mi ndo nilikua juu yake pale offin, alining’ang’ania nikaona uyu ananizoea sana, nikamchana waziwazi kua asinizoee kumbe ye akaenda kuchange story kwa mme wake et mi ndo namsumbua kila siku kazini namtishia kumtoa pale, wakanifanyia game kwa boss yani nilishtukizwa tu nasimamishwa kazi et nina dalili za corona kumbe ndo ilikua mazima barua zikanifata.

Yan tatizo nakua na moyo wa huruma kwa wengi wao, wao hujua labda ndo upendo,

kama uyu mmoja single mama nilitikea kumpenda mtoto wake wakike sana, sikumoja nikamchukua mwanae nikaenda nae shopping nikamnunulia vinguo na midoli sababu nilikua nampenda mno uyo mtoto, kasheshe ikaja kwa mama mtu, ushikaji wetu ye akauchukulia kua nampenda nashidwa kusema, siku moja akanisogelea sana nikashangaa mtu analeta lips nikaona nikipindisha uso hapa atajisikia vibaya, nikamsupport tuu ili aone kua naweza, yani akalegea kabisa masikini, ikabidi nijifanye namimi nimedata NIKAJIFANYA NIMESIMAMISHA ASIJUE HISIA NILIZIVUTA KWA CRUSH WANGU…! Bas akanianglia akawa ananionea huruma, nikamdanganya kua nawish nilale ila kuna mtoto sio sawa tufanye twende kwangu kumbe nilikua namkwepa najua hawez kutoka kwa ule mda, akanipromise kesho atakuja asijue ata sihitaji aje.

Nimetoka pale njiani najilaani tu, full kuatema mate kama mwehu, nimefika home anapiga simu kama ananidai nikawa namkwepa kiaina, inshort wengi hua naishia kuwatafutia makosa ili niwaache wakiwa hawaoni kua nilikua siwapendi, waone ni walinikosea ndo maana nikawaacha.
bahati kama hizi mbona hazijagi kwangu?? Daahh!
 
Hiyo double standard haitakiwi aisee, yaani mwanamke kumwambia mwanaume hampendi au hamtaki mnachukulia kawaida tu, ila nyie mkiambiwa hampendwi mnaona kama matusi vile
Mwanaume ujasiri na nguvu za kumwambia mwanamke humpendi mnautoa wapi?? 🤣🤣🤣
 
Ishanikuta hii,na iko active mpaka sasa,dada wa watu ananipenda mnooo.Kwa upande wa kipato namzidi zaidi ya mara 4.Sura yangu sio ya mauzo.
Lakini yeye ndo amekuwa kinara wa kunihonga,anajilipua mwenyewe kwa nauli yake kunifuata niliko umbali 1000km+.
Sina mpango nae lakini daah,kang'ng'ana.
Dee popote ulipo usinifanyie hivi
Kama hunielewi Uwe wazi kabisa
 
Back
Top Bottom