Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Kwa jinsi cheti kilivyo kipya kinaonesha kabisa ni cha kipindi hiki cha A za kuanzia 75
Unateseka ukiwa wapi mkuu ?

Ulitaka nikitumie kufungia maandazi au ?
 
Nina One ya Olevel na Advance lakini kitaa nimezungusha.

Baadhi ya classmate wangu waliofeli primary sasa ni madon
Kuna shosti angu zero form 6 sasa hivi ndo Don kwenye makundi yetu demu ana helaaa balaa!Waswahili wanasema kusoma kuelewa kukesha mbwembwe!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
18 siyo one mkuu
 
Kwenda shule hakukuzuia kufanya miradi yako mkuu.
 
Kupiga one kitu simple sana Ouvrier level na A level ukisom HGK
Wala huhitaji nguvu kubwa
 
wewe ni debe tupu
Bure kabisa!!
Wivu unakusumbua..

Nikikutumia na matokeo yangu ya chuo nadhani ndo utazimia kabisa...

Hivyo ni vitu vya kawaida sana...
 
PGM iliniangamiza na hasira adi leo kila nikikumbuka,..aisee ukiamua kula boga kula na ua lake.
 
Wivu unakusumbua..

Nikikutumia na matokeo yangu ya chuo nadhani ndo utazimia kabisa...

Hivyo ni vitu vya kawaida sana...
Kupiga one ni jambo la kawaida sana. Haiitaji mpaka uscreenshot kuutangazia umma. Anyway nilipiga one o level pia, komaa upige one pia ya kitaa. Kila la kheri!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…