Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

🤣😅😂 ila wee mtu ni msumbufu na mkorofi... Ungemkuta kavurugwa angekugeuza bata
 
Habari wadau Kwa wakazi wa mzizima wenye changamoto ya uzazi magonywa ya watoto ngiri pumu Niko mkoa Kwa bibi mnaweza kuniagiza dawa wale wenye changamoto. Za uzazi mimba kutoka bibi anatibu hii wale niliowapa namba naamini watakua mashahid
 
Ha ha haaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona hili ungewapelekea wabunge wetu moja kwa moja....watakusaidia kabisa.

cc: @BungeTanzania
 
alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
Mm nilipew ya mvuto na mganga wa Mtwara nikagombana na rafiki zangu wote. Haya amambo ya ushirikina sio ya kuyazoeazoea walahi
 
Kuna vitu vikubwa viwili vinafuana. Usasa na ukale.. maisha ya sasa yako mjini miji ilikojengeka. Vijana wanaopenda sana kwenda kuyaishi haya. Wanatoka makwao huko nchimbilimbi kwenda mjini kuyatafta. Ukale nao unataka watu wake.. Babu zetu wanaona kale yenye thaman mnoo. Wazaz hawataki watoto waende mjini. Uchawi pia nia sayansi kale ndio mana umefungamana sana na kupinga maendeleo ya kisasa (husda).
Kuna movie Moja hiv ya Amerindian inazungmzia hili. Mzaz hataki mwanae aende mjini ili ameithishe uchawi dogo anaondoka Kwa kutoroka kutafta maisha. Anafanikiwa na kuwa mtu mmoja mkubwa sana kwenye kampeni ya Sheria huko. Siku anayaorudi kutembelea kwao anaanza kukumbana na uchawi unaomsubiri arudi.
 
Wapi huko uelekeze hapa mana mwakan na mm naanza kampeni za kugombea ubunge
 
Mwamba alitoka na Bangi ndoo mbili na nusu moro vijijini,njia za ndichindichi akatokea chalize.
Mwamba akadaka abood pale sheli kona ya kwenda tanga pale.
Kitu ikatupiwa kwenye buti wayaaa to dar.
Akashuka ubungo,mwamba akapita njia ya juu mpaka kwenye mwendo kasi.
Wayaaa mpaka posta,dah pale akakuta askari kibaoo na mbwa moyo paaap akakumbuka babu alimwambia :
"utakuta mbwa sehemu usitikisike wewe nyoosha tuu".....
Wale askari walikuwa busy kubishana kuhusu mpira huku jibwa liko mbele yao likiwatizama na ulimi nje mwamba akapita kati yao wayaaa mpaka feri akavuka maji to kigamboni.
Akadaka daladala kwenda gheto kwa wakuu wa kazi kisha akashukia hichi kituo kiko nyuma kidogo pale kuna njia pacha huyo akaanza kunyata mdogo mdogo akafika geto mlangoni akasikia kuna raia ndichi wanapiga story,akajisemea itakuwa wana wako ndichi kisha akagonga mlango.......
Niendelee ama nisiendelee......................................
 

Mungu hadhihakiwi, utavunjika kiuno na usiungike!!
 
Endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…