Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Ndio Maana Unatumia Itel [emoji3][emoji3][emoji125]

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Dawa ya kupoozesha jino tu!! Hapo salute Nampa mengine yote [emoji2781]!!
 
Kuna Wahuni wakitaka kutudhulumu Shamba letu huko kijijin Kwa kesi uchwara ambayo Hakimu alikula rushwa .


Ilikua ni waondoke, watu Kadhaa kurudi mavumbini.


Almanusura, Hukumu ya Rufaa kupitia Jaji , ikaturejeshea Eneo letu.


Anyways Waganga wengi ni waaongo, mpaka upate wale wa Ndani ndan kabisa ,sio Hawa manabii wa uongo
 
Ukinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.

Ukija kuniwangia Lazima nikuone ndotoni na nishtuke kutoka usingizi

Nikikikanyaga uchawi Lazima miguu iwe mizito ghafla .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…