Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
hahaah nilimkosa kosa KWASU
Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
mkuu mbona yule ni wakumuweka ndani kabisahahaah nilimkosa kosa KWASU
mkuu mbona yule ni wakumuweka ndani kabisa
inatumika kwake tu au kwa mademu wotehapana niwaachie wenzangu iyo KWASU tangu mkwawa niliisikia
Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
hapana mkuu hayo mambo ni ya bill nenga πππNawe ni mzee wa vinanda full kupapasa?
Mmhh!!!Fanya mwanao afaulu akasome udsm home of intellectuals au nje.cbe ni kwaajil ya madem vilaz.a na mbwembwe mjini.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu ujue mama nnanauka nafikiri amekufa ujueWacha wee ndo mana we kichwa [emoji123] mana mtu aliyewahi kuishi mtwara hawagi boya boya[emoji3]
Amekremu maisha huyoo!!!nimekataa kuaminishwa hicho kitu mkuu.... maana wana kibao waliomaliza hapo udsm huku kitaa tunawacheki kwa rear view mirror na vimeo kibao tunawapush... labda ilikuwa enzi hizo ila sio siku hizi