Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Hakuna course hyo Mzumbe mkuu. Iliyopo inaitwa Health system management (HSM) ipo School of public adminstration and management (SOPAM).

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hakuna tofauti sana na nilichokisema mimi,nimesema alikua anasoma Bachelor of Public Adminstration in Health Service Management,nilichokosea hapo ni service tu na system,nimechanganya maana kuna vyuo vingine wanaita hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya mwanao afaulu akasome udsm home of intellectuals au nje.cbe ni kwaajil ya madem vilaz.a na mbwembwe mjini.

Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
nimekataa kuaminishwa hicho kitu mkuu.... maana wana kibao waliomaliza hapo udsm huku kitaa tunawacheki kwa rear view mirror na vimeo kibao tunawapush... labda ilikuwa enzi hizo ila sio siku hizi
 
Back
Top Bottom