Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Deo ndiyo kapotea hivihiviHakuna aliyesoma na mtemi deo kisandu?
Sijui kesi yake imeishia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deo ndiyo kapotea hivihiviHakuna aliyesoma na mtemi deo kisandu?
Haaaaa ucjali mkuu najaribu tu pata mwendelezo wa hatua zako baada ya katoke seminary afu preparatory ........
Ngoja classmates wake waje..Deo ndiyo kapotea hivihivi
Sijui kesi yake imeishia wapi
shule gani mliacha msechu A level kasoma galanosi na akamaliza akaachia udsmTuliacha shule na Peter Msechu, akawa msanii mimi nachimba visima.
Udsm..[emoji38][emoji38][emoji38]shule gani mliacha msechu A level kasoma galanosi na akamaliza akaachia udsm
Hhahahh unadanganya eeh
Nawe ni mzee wa vinanda full kupapasa?shule primary na secondary mimi pekee ndio nimekuwa maarufu [emoji23][emoji23]
ila kwa chuo kuna
bill nenga....nandy ...
Huu ulezi kaacha au bado,nahitaji malezi yake aise,,,Irene wakati yuko mkwawa sec b4 chuo tulikuwa tunamuita "kwasu"lile nyama gumu unatafuna wapi,kila mtu alikuwa anajipigia kuanzia wanafunz mpaka walimu.kifupi ni mama huruma aka mlezi wa wana.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
Kwani kaolewaga?Huyu dada ningepata hela mapema ndo angekuwa mke wangu, nilikuwa namwelewa sana.
Sana.
Makongo moja.
mkuu mlikuwa darasa moja, au ulisoma shule ambayo yeye alishawahi kusoma?Kingunge ngombale (rip)
mkuu wewe siasa haukupenda?
nahisi sasahivi kashajielewa huwezi mpata