mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
Huo ndo ukweli watu wa mkwawa watakwambia.MKUU UNATANIA AU SERIOUS?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli watu wa mkwawa watakwambia.MKUU UNATANIA AU SERIOUS?
Le Mutuz ni classmate wangu primary,ye alikuwa dawati la mbele yangu,kuna siku tuligombana sababu alikuwa ananikinga sioni ubaoni bonge la mwili..Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
Tegemea DM kufurikaMkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
DAH MKUU POA NILIKUA NAMWELEWA KINOMA
NASKIA ALIKUWA KICHWA KINOMA
hhhahahh kweli na wewe ulipita hapo . hadi Kwasu unalikumbuka au ulihadithiwa? alikua sio mchoyo hahhahahhahIrene wakati yuko mkwawa sec b4 chuo tulikuwa tunamuita "kwasu"lile nyama gumu unatafuna wapi,kila mtu alikuwa anajipigia kuanzia wanafunz mpaka walimu.kifupi ni mama huruma aka mlezi wa wana.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
hahahahaaha kitambo.hhhahahh kweli na wewe ulipita hapo . hadi Kwasu unalikumbuka au ulihadithiwa? alikua sio mchoyo hahhahahhah
Riz hakubaki nyuma nayeye
Alikua Maharage ya Mbeya Tumefaidi sana maini yaleNASKIA ALIKUWA KICHWA KINOMA
UJUE NILIKUA NAJUA NI MKENYA KITAMBO
NASKIA NI MCHAGA
POLE MKUU, HATA DEOAisee...Yaani mimi tu ndio sijasoma na mtu maarufu...
Hebu ngoja nisearch tena....
DAH KUMBE,ALIWASUMBUA SANA SHULE
Hahahahhshule primary na secondary mimi pekee ndio nimekuwa maarufu [emoji23][emoji23]
ila kwa chuo kuna
bill nenga....nandy ...Kingzilla...keisha
CBE bila shakashule primary na secondary mimi pekee ndio nimekuwa maarufu [emoji23][emoji23]
ila kwa chuo kuna
bill nenga....nandy ...Kingzilla...keisha