[emoji23] [emoji23] [emoji23]ngoja nisubiri miaka isogee nitakuja ku comment,,,,, wengi niliosomanao bado sio maarufu ...... mmoja akiwa maarufu nitarudi kuwajuza
Tujuze tu basi jina au hata cheo chaoNliosoma nao ni watu potential sana kwenye jamii ila hawapendi umaarufu!!
Hawapendi umaarufu hivyo sitawatendea haki kuwataja!!
Oooh hata cheo tuHawapendi umaarufu hivyo sitawatendea haki kuwataja!!
Nitashukuru kama ombi langu likikubaliwa
Sijui anajisikiaje kama yuko humu,ila no ngumu sana kuacha huo ulezi labda tu ana upgrade kutoka kuwalea wana mpaka kulea vibabunahisi sasahivi kashajielewa huwezi mpata
hapana Kilimanjaro
Kwa nn nipige nyeto mzee wakati watt walikuwa sio wachoyo ukiwaomba hao tena kuna mmoja alikuwa anakula mpk bangi hapo
Asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu ujue mama nnanauka nafikiri amekufa ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
Nimesoma na watu wenye majina kama uliyoyataja hapo juu hadi nikahisi huenda wewe nio classmate wangu..... mimi nimesoma Njombehapana Kilimanjaro