Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

Nimesoma class moja na Max Melo class alikuwa kilaza alipendelea kukaa backbench..

hahaha jok
 
Huu Uzi nimeuelewa sana,tuliokimbia shule kuanzia primary ndio tunaumbuka hapa [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,hata mwalimu humjui ,wala Monita wa Darasa,dah

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
"E="undertwentyboy, post: 28094584, member: 384572"]Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,[/QUOTE]
"
 
Back
Top Bottom