Haya mkuu ASH Tupia vituko vya mzumbe sec
Nakumbuka ukitoka chooni lazima uende uwanjani ukapunge hewa kitu ilikuwa inatema ile mbaya,ila mpango mzima ilikuwa kuweka bond warsaw ili siku ya Disco usiuze.
hahaha!nipo nipo2 mkuu,kila zama na vtabu vyake!
duh vyoo vya tabora hvyo mkuu...
nakumbuka skul kulikuwa na kidaraja kwenye barabara inayotenganisha mabweni ya boys na gals, hapo kwenye kidaraja kulikuwa kunafahamika kwa jina la "KANIITIENI" basi hapo ndo sehemu ya makutano, kama boy anamuhitaji gal anakaa hapo utaskia "samahani dada kaniitie nanii" the same applies to gal, na hapo kaniitieni ukipita mida ya night utakuta pipo zimesimamisha minazi hataree, afu kitu ZERO DISTANCE utasema kasimama mtu mmoja kumbe wawili.. CHEZEA BARIDI YA IRINGA WEWE... full MINAZI
Nakumbuka ukitoka chooni lazima uende uwanjani ukapunge hewa kitu ilikuwa inatema ile mbaya,ila mpango mzima ilikuwa kuweka bond warsaw ili siku ya Disco usiuze.
Wakuu naomba tukumbushane vituko,mikasa,na mambo mbalimbali uliyokumbana nayo wakati unasoma shule ya sekondari ya bweni(boarding),
minaz gan tena ash?ucje ku2zuga ni ile ya pemba na unguja!!
nakumbuka shida ya maji eneo la shule iliwafanya wengi wahifadh maj ya akiba ila kutokana na uvivu wangu nikawa nachelewa kuamka ili niibe maji...weny maji wakirud jion full vijembe na matusi na mimi nakua mchangiaj mkuu wa mada nikiona wamezidi ukali huyoo nahama chumba
*ila sitasahau siku nliiba maji ya kunywa kumbe ndan ya yale maji kulikua na soks na chupi yan daah.achen tu boarding life is very interestng...
hako katabia ka kuweka chup kwenye maji kalikuwepo sana tu!
ni ile kitu ya kusimama gizani boy na gal ndo inaitwa kusimamisha mnazi