Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #21
Jamaa aliandika kiustaarabu sana. Alisema kuwa wazee wao walijua kulima, lakini hali na mahitaji yamebadilika hivyo wabadilike. Ila pi aliwaambia kuwa hawajui kupika na mahindi ni chakula cha mifugo🙂Chuo Cha ustaarab tafsiri yake kwamba School of civilization hahaaaaa
Kwamba wakenya/ waafrika walikuwa hawajui kulima!
Pure whitewashing our history