ProtectedSelfika Version II
Weka madawa mapema ili kusije kuwa na vita na hekaheka kama kwenye Selfika Original...
Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula😅 ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuona kishunduuu?? Mfyuuuh
Your wish is granted babe😚Nikuone kesho😉..
Sawa, sasa inabidi tuonane tukitoka hapo nikajitmbulishe kwenu.Yaani binadamu, unataka upewe nini mkuu😀, umepunguziwa mahari unadoubt ningekuambia mahari kubwa pia ungekimbia, wewe toa mbuzi 2 tu usijali😀
Nikupe muda tena mama?or umeelewa i mean umeona😉You wish is granted babe😚
Nimeona kabisa, sitaki kusema sana watu wataona 😂😂😂Nikupe muda tena mama?or umeelewa i mean umeona😉
🤣🤣🤣😍 Kuna siku katupia tshrt imeandikwa Ccugi nadhani walimaanisha Gucci 😆😆Nilikuwa namuita DMX wa Mwandiga 😂😂😂
Ana cap yake ya red anasema alinunua mnadani 🤣🤣🤣
Kilingeni Msataaa [emoji23]Unazitoaga wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpwa aongeze na mafusho kabisaSelfika Version II
Weka madawa mapema ili kusije kuwa na vita na hekaheka kama kwenye Selfika Original...
Sawa,have a nice moment,mi hermosaNimeona kabisa, sitaki kusema sana watu wataona 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo siri ya ba tamuu, wee ntakuonesha macho na pua.Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula[emoji28] ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuuh!!
🤣🤣hapana,sitofahamu maendeleo yako ya afya kimuonekano...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo siri ya ba tamuu, wee ntakuonesha macho na pua.
Kuwa mpole basi kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuuh!!
Hebu maliza case bhana wee.
Likewise huneSawa,have a nice moment,mi hermosa
Naona umejitokeza live ..How about we go all in. View attachment 2817520
Sawa mkuu😀😀 so quickSawa, sasa inabidi tuonane tukitoka hapo nikajitmbulishe kwenu.