Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuona kishunduuu?? Mfyuuuh
Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula😅 ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........
 
Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula[emoji28] ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo siri ya ba tamuu, wee ntakuonesha macho na pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…