Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Selfika Version II

Weka madawa mapema ili kusije kuwa na vita na hekaheka kama kwenye Selfika Original...
Protected
FB_IMG_1700295807350.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuona kishunduuu?? Mfyuuuh
Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula😅 ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........
 
Hapana kaka yako hana hiyo tabia,nataka nifahamu huyo kababaa anakunyunyizia mbolea,yaan anakupa chakula[emoji28] ..hivyo nategemea majibu mazuri kupitia picha la sivyo ..........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo siri ya ba tamuu, wee ntakuonesha macho na pua.
 
Back
Top Bottom