Mkuu yule demu wako alipoteleaga wapi??Kumbe una kisogo kwa mbaaaaaaali
Hajajiuaga kweli ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yule demu wako alipoteleaga wapi??Kumbe una kisogo kwa mbaaaaaaali
Kamera utaziweza mkuu hizi picha ninazotuma humu msiziamini kihivo!You light up any room you walk into.
Please behave yourself. Sitembei na wenye vyeti vyao mirembe. Labda muulize yule shogaake anaeshinda m. City anakunywa kahawa atakuwa na updates zake. No hateMkuu yule demu wako alipoteleaga wapi??
Hajajiuaga kweli ???
We kazuri sana. Umeumbika vizuri, acha niishie hapoKamera utaziweza mkuu hizi picha ninazotuma humu msiziamini kihivo!
We kazuri sana. Umeumbika vizuri, acha niishie hapo
Unapenda picha kuliko chakula. Chocolate colorHapana sina hata huo uzuri rafiki thank you for appreciation!
Hebu Fanya uubles mchana wangu na 🤳 moko kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣 uwii nmechekaaaaHahha mambo ya salad mwenyew malkia food au foodlovers mie mmh mtaharisha 🤣🤣😀
Hivi yule demu TiniselyBoss ledi shepu lako lilichanganya dada wa watu,kila ukisifiwa anapata makasiriko, kwanini usifiwe kuliko yeye[emoji23][emoji23][emoji23]
Akiyanani flat screen ni laana
Mwanakondoo ameshindaaaaNi rangi za Christmas tu,Red,Green na white
Nyeupe kuashiria nuru ambaye ni KRISTO
Huyu ni mlokole feki, anapenda umbea kuliko maombi 😀 Saint AnneMwanakondoo ameshindaaaa
🥰Nitajaribu kipenz nione ladha yake maana Huwa naogopa hata kujaribu🤣🤣🤣🤣🤣 uwii nmechekaaaa
Kuna moja nmekula harusini hv karibuni ilikuwa mixer
Embe,nanasi,vitunguumaji,pilipili Manga ilikuwa tamuuuu
Nyingine nilikula kwenye nyamachoma moja hv
Nanasi,apple,tango,pilipilimanga
Ni tamuuu...hebu jaribu
Uko vizuri dada amini nakwambia Upo natural haujipaki masotojo mengi ila you rock sipati picha ukipakaKamera utaziweza mkuu hizi picha ninazotuma humu msiziamini kihivo!
Atatubia Mungu ni mwingi wa kusamehe 😀😀Huyu ni mlokole feki, anapenda umbea kuliko maombi 😀 Saint Anne
Hii ni kampuni au?Woow!Hongera sana,hadi mwezi February natamani niipite record yako ya utalii wa bahari hapo kwa list[emoji39].
Pia sikuwa nafahamu saadan kama kuna train
Pia unaweza kufanya utalii wa train [emoji116]..nakuhakikishia hautojutia.View attachment 2854395
Hajipaki masotojo🤣🤣🤣🤣Uko vizuri dada amini nakwambia Upo natural haujipaki masotojo mengi ila you rock sipati picha ukipaka
Nakukubaligi sana wee mwanamke
Umbea suna 🤣🤣🤣Huyu ni mlokole feki, anapenda umbea kuliko maombi 😀 Saint Anne
Hii ndio tunaita umbo namba 8 au nakoseaNi rangi za Christmas tu,Red,Green na white
Nyeupe kuashiria nuru ambaye ni KRISTO
Asante Umemaliza, 😂😂😂
Hiyo ya apple nimetengeneza ni tamu sana unaweza kula yenyewe tu bila hata msosi🥰Nitajaribu kipenz nione ladha yake maana Huwa naogopa hata kujaribu