ah huo ndo ukweliUkisema haya msamaha wako hautakuwa na maana. Forgive and forget
Ah mimi siwezi kwa kweliWewe na myself wako mnazingua 😆 unayumbishwa na JF? Huku ukilog out km ulikuwa huna sukari, si inabaki vile vile huna sukari?
Ama ndo mtu mzima akivuliwa nguo uchutama? Chutama yako ndo imeamua ukae mbali na JF?
Wakomeshe watesi wako kwa kurudi na kuwa happier just like nothing happened wewe binti. Looh
AKHUUusihofu nitakufundisha rohongumu.ili uishi kwaumalkia sio uishi kamakijakazi
TumfuateeeMwanakondoo ameshindaaaa
Si usingekuja tu sasa 🤭Ah mimi siwezi kwa kweli
waache waendelee tu
Haya ni maisha tu
TumfuateeeMwanakondoo ameshindaaaa
mpendwa wako nani" People always have opinions but what will be will always be"
Enjoy your day wapendwa!✌️
Ah nimeona tu nije tu , muda mwingine ni bora kuface your fears tusasa kwani huko huku kutafuta pipo jaman mpaka uwahofie 😁 ?
🤣🤣🤣Huyu ni mlokole feki, anapenda umbea kuliko maombi 😀 Saint Anne
Ok. Mello alikupa namba yake ili umtafute kama kweli huna access na account yako. Ulimtafuta ukashindwa kukupa access?
Ah bora nimekuja dear yaaniSi usingekuja tu sasa 🤭
Nimesema Wapendwa .. wako wengi tumpendwa wako nani
KungwiWewe na myself wako mnazingua 😆 unayumbishwa na JF? Huku ukilog out km ulikuwa huna sukari, si inabaki vile vile huna sukari?
Ama ndo mtu mzima akivuliwa nguo uchutama? Chutama yako ndo imeamua ukae mbali na JF?
Wakomeshe watesi wako kwa kurudi na kuwa happier just like nothing happened wewe binti. Looh
Sihitaji ID ya TINSLEY , nimekoma yani kutumia JF .Ok. Mello alikupa namba yake ili umtafute kama kweli huna access na account yako. Ulimtafuta ukashindwa kukupa access?
ASANTE SANA ,usiogope Dunia ishachanganya hii nawewe changanya
😂😂😂 jamaniKungwi
Kusafisha nini na bado ana woga 😂😁muache asafishe jinalake.muajemi wee
Ngoja ninyamaze tu maana kuna vitu nikiuliza hapa utaona nakushambulia.Sihitaji ID ya TINSLEY , nimekoma yani kutumia JF .
SINA HAMU NAYO
thank you , ila haina maana naaicha hii id leo leoinjoi mkuu.nifolo bas