Fifi kama fifi 🤣🤣 huu mwaka uishe tuFifi fire [emoji91]
I appreciate broda [emoji126]
Fifi kama fifi [emoji1787][emoji1787] huu mwaka uishe tu
Pole dear 😀😀 mimi nilifungua madirisha ya room yangu😀Nmefungua macho tu 🤣
😁😁☺️No breakfast leo?
Nikiona kikombe cha coffee kwa picha zako nashiba lakini leo sijaona🤣
Mi ni kweli mwaka huu sijafunga wala kuhubiri tokana na kutingwa na kazi za kimwili. Nimehubiri mara moja tu mkutano wa injili wa nje ila Mungu akisaidia mwakani nimepanga kununua vyombo vipya na kuanza kuhibiri. Nitaanza na mfungo binafsi then nitaendelea na wa siku 28 wa TAG Kitaifa.Asante sana Mkuu,Hakika Bwana ni mwema,utukufu kwa Mungu.
Huu mwaka nimestruggle mno kufunga,nikaona mwisho wa mwaka Wacha nipambane.
Mungu amekuwa mwema,ameniwezesha.
Muda uko wapi 😂We sema kweli vocalist 😃
A life spent making mistakes is not only more honourable but more useful than a life spent in doing nothing.Muda uko wapi 😂
Asantee!!Pole sana rafiki,mpatie taarifa shemeji tafadhali.😅
Mwambie JF doctor amekushauri "bedroom rodeo" ndio tiba ya uhakika.Asantee!!
Tayari...kaniambia ni-google best home remedies.😁😁
Anhaaa hii si ya humu JF babe, kuna kitu nilimuomba Saint Anne tu.Mie nashangaa tu
🤷Nn tena
Mzee wa hitilafu, weka na ile niliyoipiga mimi.
Mzee wa hitilafu, weka na ile niliyoipiga mimi.
Akili za shaggy anajijua mwenyewe 😁If yu tek dis too serious
Den yu really need some church
Shaggy sijui alimaanishaje..
Cc raraa reree
Shukrani sana,najongea hapo muda si mrefu.Zulu man karibu chai...View attachment 2855058
Hahhaa basi bado haujachelewa boxing day inaendelea😀unafeli wapi wanaume wakutoazawadi tupo hatuoni pakuzipeleka
Ndo hivyoKuna comment nimesoma niseme tu humu kuna watu ni wapumbavu sana. Na ni watu wazima umri umekata lkn akili za kitoto. Mtu usicheke na yoyote tayari umelala nae. Hovyo sana.