Nauliza tena, wewe ni muhaya?tunakunywa na juice π₯€ ya bei kali sanaaa.
Tupia mimi sitauliza diet yako kweli tenaNilitupia watu wakanicheka nimesema situpii tena!
Wakipost wengine mnawasifia nikipost mimi mnaanza kuniuliza diet yangu ipoje
Nilipost mara ya kwanza maswali yakawa mengiTupia mimi sitauliza diet yako kweli tena
Hiii imekaaje kujuana mbn Mimi sijuiπBora huku mnaona avatar hata ya viatu
πTunajuana kabla?
Sasa kasafari ndio kwanza tuna kaanza fungua PM nizamie kama yule mwamba kuleπ€£π€£π€£Nishaona hatujuani kabla!
Tunasubiri..Nilipost mara ya kwanza maswali yakawa mengi
Nikapost mara ya pili maswali tena
Mara ya tatu wengine waliongea kama wewe hawatonicheka nikaingia kingi nikaweka picha zangu zile nzurinzuri ila wakaendelea kunicheka
Situmi tena! Anayetaka kuniona aje kwetu
Utasubiri sanaaa..!Tunasubiri..
Huu ni uchoyo wa waziwaziπUtasubiri sanaaa..!
πΉππππ€
Selfika hapaMahondaw CCy kama uko free nambie tuselfike hapa au selfika kule
Mr vocha shikamoo kaka angu.Selfika hapa
Pole kama ni kweli walikucheka.Nilipost mara ya kwanza maswali yakawa mengi
Nikapost mara ya pili maswali tena
Mara ya tatu wengine waliongea kama wewe hawatonicheka nikaingia kingi nikaweka picha zangu zile nzurinzuri ila wakaendelea kunicheka
Situmi tena! Anayetaka kuniona aje kwetu
Heshima yako bossMr vocha shikamoo kaka angu.
Sawa naselfikaHeshima yako boss
Selfika basi tukuone
Asante sanaPole kama ni kweli walikucheka.
Tukaselfike kule sis huku mpaka tukipigwa banπππππ!Mr vocha shikamoo kaka angu.