Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Hatimaye babu uvumilivu umekushinda umekuja 🀣🀣🀣🀣
Antonnia na cocastic babu mi mmemuona? 🀣🀣🀣
 
Had msemeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute pepo ndo mie sasa, mtafanyajeee??
Tunakuogeshea maji ya mwamposa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚maana kukunyunyuzia haitoshiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mume wangu hebu tulia, wee mzee sahiv achia vijana tufurahie wakati wetu.

Hutaki nipate wa kukusaidia majukumu ya kitandani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha wawe vitombiii, wanapitia magumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira wanamalizia kwenye kuloweka kila shimo walionalo.

Nimeanza kulewaa kumbikumbi wallah.
Kweli umelewa kumbikumbi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mume wangu hebu tulia, wee mzee sahiv achia vijana tufurahie wakati wetu.

Hutaki nipate wa kukusaidia majukumu ya kitandani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🀣🀣🀣🀣 kumbe Babu mi mmeo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mi mwenyewe nakaribia kustaafu hekaheka! Ss hivi nashinda insta na Kantry
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] insta ndo chimbo kuu LA sis wana heka heka.
 
Anko ndio uanaume huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…