cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Had msemeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pepo amekaa pembeni anatuambia Bado hamjasema[emoji3][emoji3][emoji3]
Ukute pepo ndo mie sasa, mtafanyajeee??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Had msemeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pepo amekaa pembeni anatuambia Bado hamjasema[emoji3][emoji3][emoji3]
wewe tena pendapenda 😂Naomba dials za huyo mkaka, ana kitu afu atafika mbali, ko nataka nimsindikize tufike wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatimaye babu uvumilivu umekushinda umekuja 🤣🤣🤣🤣Baswahili ni watu wa ajabu sana,
Kuvaa nguo ni haki ya mtu yoyote,popote pale hata majani mtu anaweza kuvaa
Sasa nyinyi mnaona ajabu tuoneshane nguo za nini tena?
Ukipendeza pendeza kivyako,
Hujapendeza subiri awamu ingine.
Kuuliza umevaa nini ni Ushamba mwingi sana.
Tunakuogeshea maji ya mwamposa 😂😂😂maana kukunyunyuzia haitoshi😂😂😂Had msemeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute pepo ndo mie sasa, mtafanyajeee??
Mume wangu hebu tulia, wee mzee sahiv achia vijana tufurahie wakati wetu.Baswahili ni watu wa ajabu sana,
Kuvaa nguo ni haki ya mtu yoyote,popote pale hata majani mtu anaweza kuvaa
Sasa nyinyi mnaona ajabu tuoneshane nguo za nini tena?
Ukipendeza pendeza kivyako,
Hujapendeza subiri awamu ingine.
Kuuliza umevaa nini ni Ushamba mwingi sana.
Kweli umelewa kumbikumbi 😂😂😂Acha wawe vitombiii, wanapitia magumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira wanamalizia kwenye kuloweka kila shimo walionalo.
Nimeanza kulewaa kumbikumbi wallah.
🤣🤣🤣🤣 kumbe Babu mi mmeo?Mume wangu hebu tulia, wee mzee sahiv achia vijana tufurahie wakati wetu.
Hutaki nipate wa kukusaidia majukumu ya kitandani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha mafupi bhana, acha nihenyekee na watoto wa mama wakwe.wewe tena pendapenda [emoji23]
ntakutumia kule
Hapa sio mashindano ya meza mjukuu ni kijiwe cha kutoa lock [emoji23]Ongea na mmiliki wa chimbo, abadilishe meza bhana, utadhan meza za bucha za vingungutii kidarajani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hapana.Kweli umelewa kumbikumbi [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Mi mwenyewe nakaribia kustaafu hekaheka! Ss hivi nashinda insta na Kantry[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu sitakii, mume anauma ujuee?
Now nataka nitulie, heka heka za kugombea mkuyanyaa chitakiiiii.
Nimeshinda na kitenge kimoja nimefunga kifuani kingine kiunoni na kimtandio juu, sasa kila nikitaka kujiphoto nashindwa, bas nasoma tu comments .
Uduguu sikukuambia ndo aliyenipokea JF.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe Babu mi mmeo?
Mzee hongeraUnauliza majibu kwenye mtihani usiokuwa na maswali? JF nzima hapa hakuna wa kumfikia 100% [emoji91][emoji91][emoji91][emoji3590]
Acha ukorofii uduguuu huu uzi hatutaki hekaheka mjue!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] insta ndo chimbo kuu LA sis wana heka heka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mi mwenyewe nakaribia kustaafu hekaheka! Ss hivi nashinda insta na Kantry
😂😂😂😂 Sema babu anachekeshaUduguu sikukuambia ndo aliyenipokea JF.
[emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa busara wana baraka zao ktk maisha.
Kuna wakati huwa unanishangaza ila basi tu 🤐🤐🤐🤐🤐
Anko ndio uanaume huo[emoji23][emoji23][emoji23] La mstari
Kuna clip niliona sijui watu wa wapi wale, wamewaweka mstari ngariba akipita anakata km anakata nyama kisu kikali!!!
Mpk chango lilicheza, nikasema wanaume kumbe nao wanapitia magumu shenzy zao!! [emoji23][emoji23][emoji23]