Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mwari umehitimu😍
Hongera mwari wangu hongera, nami somo yako nihongere🤣
Kabisa kungwi hongera 😂😂😂

Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol 🤣🤣🤣🤣
 
We acha tu
Nimekuwa wa mjini[emoji38]

Hivi nilitaka nizikate hapa maana zimekuwa ndefu...wakanipa rangi nipake.
Mimi kucha zangu nakata Kila wiki ila zinakua haraka sana.
Watu weuweeee!!!
Mama mtumishiii, kawa wa mjinii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisa kungwi hongera [emoji23][emoji23][emoji23]

Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mamy k mzuri sana[emoji7]
 
Back
Top Bottom