Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bado sana!!
Subiri babu miga aje na kina mabakuri uone km utasema ilo neno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had kupaliwaa.
Uduguu huwa hutaki Amani kabisaa,

Chibaba anataka nitulie, wee unataka nibaki kwa heka heka, jaman nataka ndoaa bhana wee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha mkuu kwanini umenifananisha na huyo, mimi siyo mwanajeshi wala, hiyo intake unayosemea ni wale wa military science walioapishwa leo au
Afu kuna mtu umefanana nae ktk wale 62, nilidhani nawee upoo pale.

Walipendeza sanaa na majoho yao.
 
Kabisa kungwi hongera [emoji23][emoji23][emoji23]

Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had kupaliwaa.
Uduguu huwa hutaki Amani kabisaa,

Chibaba anataka nitulie, wee unataka nibaki kwa heka heka, jaman nataka ndoaa bhana wee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Waje si ndo wenye kijiwe why wakimbie??
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo 🤣🤣🤣

Ila anko maba aje atuambie ilikuwaje had akajikuta korokoroni?!!! 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom