Kwani kuna familia haina mdomo🤣🤣 Chai wananywea puani🤣🤣😂😂😂😂 wifi nyie familia yenu yote mna midomo.
Si tunakupenda tu😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna familia haina mdomo🤣🤣 Chai wananywea puani🤣🤣😂😂😂😂 wifi nyie familia yenu yote mna midomo.
😂😂😂😂 me sina neno naye mbonaUsitake kunifanya niseme visivyohusu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muache Eng wa watu, aenjoy uzi wa gran pah
sina habari namtu nakichezea taratiiiiiibMkuu Ushavimbiwa zako Dinner huna mudaaa😁😁! kidding!
Mkuu uko vizuri, nimependa vidole vyako 😍
Aisee, tandamu isiwe ile ukiwa una cheza nayo kama una hamisha fridge sebuleni, iwe tandamu ya wastani.Wewe mgeni Kwani? 😂😂😂😂
Humu sio misambwanda tyuu!! Mpk mitandamu ipo
Wee pilot Hizo hela za rejareja ninazo??? 😁😁😁!!Ila we mtoto lile kalio umelitolea Turkey au Mlonganzila? eeh!!
Nijiweke kwake au wee unasemajee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me sina neno naye mbona
Sema katisha sana na viatu vyake OG anavaa brand tupu
Kaka Mkubwa unapiga kampeni, dada yako flat screen ya maana, ultra slimMamy k ana mpododo hatari sana
Kwakweli maisha ndio hayahayaaa!!sina habari namtu nakichezea taratiiiiiib
😂😂😂 Siamini km nimepita kwenye familia yenu!!!Kwani kuna familia haina mdomo🤣🤣 Chai wananywea puani🤣🤣
Si tunakupenda tu😍
Njoo chemba nikuonyesheHebu nioneshee nikuthaminishee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kuna familia haina mdomo[emoji1787][emoji1787] Chai wananywea puani[emoji1787][emoji1787]
Si tunakupenda tu[emoji7]
😂😂😂😂 si ndo zuriAisee, tandamu isiwe ile ukiwa una cheza nayo kama una hamisha fridge sebuleni, iwe tandamu ya wastani.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁!!JF bana,kuna majina unajenga imagination kichwani labda ni mtu fulani hivi..anapost picha unabaki kushangaa...🚶♂️🚶♂️
Msikilize mahabuba wako, achana na Sisi walimwengu....Sisi ikifika saa usiku tunalala, wewe ndio utakesha na mito🤣🤣🤣Kabisa kungwi hongera 😂😂😂
Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol 🤣🤣🤣🤣
Mamy k upo vizuri sana, shemeji yanvu baba k hana sauti hapo[emoji23]Kaka Mkubwa unapiga kampeni, dada yako flat screen ya maana, ultra slim
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo ndio nakupendea huwa unamuweka sawa sana huyuMsikilize mahabuba wako, achana na Sisi walimwengu....Sisi ikifika saa usiku tunalala, wewe ndio utakesha na mito[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Analokukataza usifanye mwari wangu.....
Na ukipost namwambia[emoji1787][emoji1787], ukidundwa Simo[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Jiweke aiseee!!Nijiweke kwake au wee unasemajee?
Afu aliishi mambelee huyu, ko kukwea [emoji3575]ni kugusa tyuuh,
Chap kwa fasta tupo Michigan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]