Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Una picha yake?Nabisha.
Kabisa kungwi hongera πππMwari umehitimuπ
Hongera mwari wangu hongera, nami somo yako nihongereπ€£
Watu weuweeee!!!We acha tu
Nimekuwa wa mjini[emoji38]
Hivi nilitaka nizikate hapa maana zimekuwa ndefu...wakanipa rangi nipake.
Mimi kucha zangu nakata Kila wiki ila zinakua haraka sana.
Siamini kama jf nzima kuna manzi ana msambwanda, hadi nihakikishe. Watoto wa humu wapo flat kama wachina.Una picha yake?
πππ kumbukumbu muhimuWatu wanapekua mafile yako ya nyuma tu jf kibokooπ!
Bas sorry! Tuishie hapo kwa leoHaha mkuu kwanini umenifananisha na huyo, mimi siyo mwanajeshi wala, hiyo intake unayosemea ni wale wa military science walioapishwa leo au
Cacha bayaa, mfyuuuuhView attachment 2818165
Shida nikukere tu mweka mada...[emoji23]
Mamy k mzuri sana[emoji7]Kabisa kungwi hongera [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiki ni kijiwe nongwaa, mie ni Zai.Story sana,tupieni mlivyovyaaga.
Kina kisigino
Design ya vile viatu vya zama za wakoloni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndo nilichokipendea.
Mbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipya[emoji23][emoji23][emoji23] yangu mpaka ruhusa
Alafu antonnia nimemiss hips lako[emoji7]
Ni kweli kabisa mkuu.Mbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbukumbu muhimu
Unafaa kwa matumizi ya binadamuu.[emoji91][emoji91][emoji91]Enzi nakula nondoView attachment 2818182
Unalo bana[emoji23]Mbona Sina hips mimi! Afu Sina hata jipya
Ulikua hujauona?Wifi Mamy K tupia nione mpododo [emoji23][emoji23][emoji23]
SawaSitaki.
Mwambie atubless basi tumuone ππMamy k mzuri sana[emoji7]
Sijauona πUlikua hujauona?