Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Usitake kunifanya niseme visivyohusu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muache Eng wa watu, aenjoy uzi wa gran pah
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ me sina neno naye mbona
Sema katisha sana na viatu vyake OG anavaa brand tupu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me sina neno naye mbona
Sema katisha sana na viatu vyake OG anavaa brand tupu
Nijiweke kwake au wee unasemajee?
Afu aliishi mambelee huyu, ko kukwea [emoji3575]ni kugusa tyuuh,
Chap kwa fasta tupo Michigan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kuna familia haina mdomo🀣🀣 Chai wananywea puani🀣🀣
Si tunakupenda tu😍
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Siamini km nimepita kwenye familia yenu!!!
Kaka ako anachagua utasema anataka kumla nyama mtu!!!πŸ™Œ
Kuna muda had najiuliza nimetoboa toboa vipi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
JF bana,kuna majina unajenga imagination kichwani labda ni mtu fulani hivi..anapost picha unabaki kushangaa...πŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈ
🀣🀣🀣🀣🀣🀣😁!!
 
Kabisa kungwi hongera πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kaka ako kashagoma why nilazimishe?
Kwanza akinijua yeye inatosha!!!
Usimuone anaingia na kutoka humu ukajua kaupenda uzi!! Ooh!! Yuko anafanya patrol 🀣🀣🀣🀣
Msikilize mahabuba wako, achana na Sisi walimwengu....Sisi ikifika saa usiku tunalala, wewe ndio utakesha na mito🀣🀣🀣
Analokukataza usifanye mwari wangu.....
Na ukipost namwambia🀣🀣, ukidundwa Simo🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo ndio nakupendea huwa unamuweka sawa sana huyu
 
Nijiweke kwake au wee unasemajee?
Afu aliishi mambelee huyu, ko kukwea [emoji3575]ni kugusa tyuuh,
Chap kwa fasta tupo Michigan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jiweke aiseee!!
Kwa miosho ile akuchukue mnaendana kabisaaa!!!
Mambele aliishi jimbo gani? πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…