Huyo kwenye avatar picha ni maza?Uzi una kitu utafika mbalii..
[emoji23][emoji23][emoji23] niliscreeshot nyingi sana, ulikua unakula nn?Kantry ananitafuta nishamuona [emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali ntakupa my dia
Duuh naona pipe iko kwenye protectorππ
Mmoja hapo aliniambia kuna siku niliona unataniana na mtu mpk nikajiuliza au hamko serious na bro? πππDada zangu humu nawapenda sana
Joannah
Antonnia
Carleen
Mamy K
[emoji23][emoji23] ni nani alikuambia hivyo?Mmoja hapo aliniambia kuna siku niliona unataniana na mtu mpk nikajiuliza au hamko serious na bro? [emoji23][emoji23][emoji23]
Itabidi niache utani ss hivi kumbe mawifi wako makini [emoji23][emoji23][emoji23]
πππ vyakula vya kiarabu[emoji23][emoji23][emoji23] niliscreeshot nyingi sana, ulikua unakula nn?
Role model wangu....Huyo kwenye avatar picha ni maza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyakula vya kiarabu
Anajijua πππ[emoji23][emoji23] ni nani?
Nampenda. Nilimuombeaga humu humu wakati akiwa makamu wa rais aje awe rais.Role model wangu....
πππ sio meWe uduguuu turriaaaaa!! Walai Kantr anakula pazuriiii nyieeeπππ!
Anachelewa shem mi nataka kulala πππAnakuja hebu kaa kwa nywila, mfyuuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakua ni mamy k[emoji23]Anajijua [emoji23][emoji23][emoji23]
Akipita atajisema mwenyewe
Wachaa wee [emoji23][emoji23][emoji23]Umepitwaaa shosss akeee...Bongesa la mshepu uwiiuu!!
Lamomy mkareeee kinoumaaa!
Mbona hujafuta?Nougaaa sannaaa auweeeee!! Lamomy naiomba hio saa kwanii lol!!
Umependeza sanaaa Chimomy ake Kantri [emoji7][emoji7][emoji7]!
Sio Rais huyu, ni mke wa late Mkapa.Nampenda. Nilimuombeaga humu humu wakati akiwa makamu wa rais aje awe rais.
Mungu amlinde amtangulie amjalie furaha, afya na maisha marefu.
Hebu lala huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anachelewa shem mi nataka kulala [emoji23][emoji23][emoji23]
Thank youPortable easy to carry, nice one
We love you tooo kantri akeee Chimomy!!ππππDada zangu humu nawapenda sana
Joannah
Antonnia
Carleen
Mamy K