Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Kumekucha
IMG_20231118_200410.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jando LA foleni? Au la mafungu.
😂😂😂 La mstari
Kuna clip niliona sijui watu wa wapi wale, wamewaweka mstari ngariba akipita anakata km anakata nyama kisu kikali!!!
Mpk chango lilicheza, nikasema wanaume kumbe nao wanapitia magumu shenzy zao!! 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23] La mstari
Kuna clip niliona sijui watu wa wapi wale, wamewaweka mstari ngariba akipita anakata km anakata nyama kisu kikali!!!
Mpk chango lilicheza, nikasema wanaume kumbe nao wanapitia magumu shenzy zao!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha wawe vitombiii, wanapitia magumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira wanamalizia kwenye kuloweka kila shimo walionalo.

Nimeanza kulewaa kumbikumbi wallah.
 
Baswahili ni watu wa ajabu sana,
Kuvaa nguo ni haki ya mtu yoyote,popote pale hata majani mtu anaweza kuvaa
Sasa nyinyi mnaona ajabu tuoneshane nguo za nini tena?
Ukipendeza pendeza kivyako,
Hujapendeza subiri awamu ingine.
Kuuliza umevaa nini ni Ushamba mwingi sana.
 
Back
Top Bottom