Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Tupia lako😂😂😂 Me niko nasubiri kuona hips nimelimiss kinoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupia lako😂😂😂 Me niko nasubiri kuona hips nimelimiss kinoma
Hii hatutaki hekaheka mdogo wangu pepo la mvurugano lishendweee😁!Dada kesho pika pilau tusherehekee heka heka zimerudi😀😀
Ongea na mmiliki wa chimbo, abadilishe meza bhana, utadhan meza za bucha za vingungutii kidarajani.
Unauliza majibu kwenye mtihani usiokuwa na maswali? JF nzima hapa hakuna wa kumfikia 100% 🔥🔥🔥❤️Babu kwani bibie ana msambwanda!?[emoji23][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemiss lile tabasamu ndugu mjumbe do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Nakuona
Naomba dials za huyo mkaka, ana kitu afu atafika mbali, ko nataka nimsindikize tufike wote.Niko palee, kuna mtu nasubiria atume
😂😂😂 La mstari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jando LA foleni? Au la mafungu.
Kuzima kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
😂😂😂 unaogopa?[emoji23][emoji23][emoji23] ctakiiii, unataka wamnyakue ju kwa ju?
Nyakunyaku wa JF hapana [emoji119][emoji119]
Pepo amekaa pembeni anatuambia Bado hamjasema😀😀😀Hii hatutaki hekaheka mdogo wangu pepo la mvurugano lishendweee😁!
Acha wawe vitombiii, wanapitia magumu.[emoji23][emoji23][emoji23] La mstari
Kuna clip niliona sijui watu wa wapi wale, wamewaweka mstari ngariba akipita anakata km anakata nyama kisu kikali!!!
Mpk chango lilicheza, nikasema wanaume kumbe nao wanapitia magumu shenzy zao!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ninalo sasa? 😂😂😂Tupia lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu sitakii, mume anauma ujuee?[emoji23][emoji23][emoji23] unaogopa?
Udugu wewe wa kuogopa nyaku nyaku kweli??